Nashangazwa na aibu ya mwaka kabla ya siku mbili zilizoahidiwa hazijafika! Wewe umeshaoneshwa hizo hati za muungano? Kwa nini tusizisubiri ili tujue mbivu na mbichi ni zipi? Je Msekwa naye ambaye hajawahi kuziona tuseme mwongo? Nadhani tuzisubiri kama zipo tutaziona tu!!Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu, sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao. Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo, jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati ya muungano. Lissu na genge lako la wahuni, tafuteni uongo mwingine, maana wa hati ya muungano hauna tena soko.
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lako la wahuni, tafuteni uongo mwingine, maana wa upotoshaji juu hati ya muungano hauna tena soko.
je hati hiyo hipo? kama hipo ni halali? kama halali muungano ni halali? lishajibiwa moja bado mawili, hati ni halali? kwa mujibu wa copy niliyoiona mimi imefaxiwa saa 9:55 leo tarehe 14 mwezi wa 4, sijajuwa haswaa imetoka wapi ahhhhh kunawalakini hapo
Hati ya Muungano inaonesha nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar. Lissu hapo ana point nzuri sana. Jee, Tanganyika iko wapi?
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lako la wahuni, tafuteni uongo mwingine, maana wa upotoshaji juu hati ya muungano hauna tena soko.
Hati ya Muungano inaonesha nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar. Lissu hapo ana point nzuri sana. Jee, Tanganyika iko wapi?
Yani kama sio Lissu hiyo hati isingetolewa milele!naona waliifuata UN usiku baada ya makombora toka kwa wakili msomi
Hoja muhimu kuliko zote, hata kama hati ipo, je, lipo wapi azimio la baraza la mapinduzi kuidhinisha muungano? Kama halipo zanziba hawakuridhia muungano kihalali
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lako la wahuni, tafuteni uongo mwingine, maana wa upotoshaji juu hati ya muungano hauna tena soko.
Hoja ya Lisu inasimama vile vile. Kuwepo kwa hati ni jambo moja na kuridhiwa kwa hati ni jambo la pili. Hoja ya Lisu ni kuwa makubaliano hayo ya Muungano hayakuridhiwa kule Zanziber. Kama imeridhiwa Zanziber nayo itoe hati hiyo ya Muungano kama wanayo. Kama hawana basi ujue kuwa hakuna uhalali wa Muungano huo. Hata kama watakuwa nayo je uliridhiwa na Wazanziber? Hilo ndilo linaloukosesha Muungano uhalali wa Kisheria. Lisu hoja yake inasimama vile vile. Swala siyo kuwepo au kutokuwepo kwa hati bali hati hiyo iliridhiwa na vyombo vya sheria vilivyokuwepo wakati huo? Mwanasheria wa Zanziber ailiwahi kuiona hati hiyo? Hebu uliza kabla ya kurukia hoja hewani na ukaambulia manyoa ukidhani umekamata ndege.