damu ya kijana uliyemuua kule ndago itakutafuna mpaka mwisho wa maisha yako. Ona sasa unavyoweweseka. Muuaji weee
Mwigulu ndio baba yenu wa demokrasia, atakufundisheni mpaka mshike adabu
nao simba nawalaumu kwa kukubali mwaliko wa kijinga kama huo.
mwigulu ndio baba yenu wa demokrasia, atakufundisheni mpaka mshike adabu
Huyu mwigulu LAZIMA atakuwa ni mchawi na mshirikina...
Kwanza ilikuwaje Mwigulu aalike timu ya Simba ilihali yeye ni shabiki wa Yanga? Au Simba ndiyo timu cheap sana?
Ndio maana soka letu haliendelei sasa simba iajifunza, itaongeza nini kimpira kwa kucheza Singida?Nao simba nawalaumu kwa kukubali mwaliko wa kijinga kama huo.
Kwanza ilikuwaje Mwigulu aalike timu ya Simba ilihali yeye ni shabiki wa Yanga? Au Simba ndiyo timu cheap sana?
Chadema imechokwa haraka kweli. Hii ni kwa sababu ya uuwaji wao wa watz wasio na hatia
Kuna mtu anaitwa MwanaDiwani humu kasema ule mpira uliochezwa jana pale Iramba ulikuwa ni shughuli ya uchumi na mkutano wa CHADEMA haukupaswa kusimamisha shughuli za kiuchumi. Nimeshindwa kumjibu. Maana mkutano wa CHADEMA ulikuwa ni kwaajili ya kuamua mstakabali wa taifa hili, na mpira wa simba na hiyo timu ya kijiji ulikuwa unawasaidia nini wana Iramba? Ukiwa CCM, nafikiri huwa kuna utaratibu wa kukata baadhi ya mishipa ya fahamu ili uwe unaongea vitu ambavyo ni nonsense. Wanasikitisha sana hawa wenzetu. Nafikiri kuna haja ya kumtimua kwenye uongozi Rage pia, maana anaishushia hadhi timu yetu. Yaani simba imefikia level ya kwenda kucheza na timu ya kijiji?mkuu yanga pale safu yao ya uongozi haina njaa, na wadhamini wake wapo vizuri, mi shabiki wa simba lakini kwa ili siwa suport, pia wajue mpira ni burudani tu, ila cdm ni mkombozi wa maisha ya mtz milele.
Money talks.
BTW simba haimilikiwi na CHADEMA
Nao simba nawalaumu kwa kukubali mwaliko wa kijinga kama huo.
Kama mbinu ya kuwabambika ugaidi makada na viongozi wa CHADEMA inaonekana kutofua dafu, angalau tu hata kwa kuitisha mechi ya simba na kiingilio bure, ili kupunguza umati wa watu ambao ungefurika kumsikiliza Slaa.Kwa hiyo Nchemba ndio Strategic Planner wa CCM? Na hiyo nayo tuiite mikakati kamambe?
Kweli?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums