Haya mawazo ni yale ya kwako au mengine umechukua ya watu ambao wanamatatizo sijaona unachoongea zaidi ya kujikanyaga na kujipinga mwenywe kweli bavicha kuna manyago ndiyo maana kila bavicha yeye ni matusi tu kumbe vichwa havina kitu.
unacheza wewe matusi mnayajua nyie?Ndio maana mnatukana sana tuu ila mnaassume wengine ndio wanatukana kumbe mnasikia echo ya matusi yenu.
Hakuna thread tangu ya Jk na kagame, Malawi, gas etc..ma CCM hawana hoja ni matusi, na kuhama , mara uzalendo, mara sijui kumchukia JK, mara udini, mara ukabila, hakuna mahalai wanaweza weka rationality ya maamuzi ya JK, au kutete hoja.Ndicho unachoongea hapa.
Kwani ni uongo si mlikuwa mnasema CDM ina inanunua watu, sijui vorba sijui nini na nani...nilichomuuliza Mkumbo ni vipi angeweza pata hela za kuhonga kupita CCM?Ingawa najua umefulia sana wewe Gamba, ndio maana unaishia tapeli watu ambao nao hawana thamani kutapeli au kupiga mzinga, kwani ukishaondoka wanaendelea na mambo yao..wewe ndie unaishia kuwa uliyejitapeli.Ni kawaida ya magamba kujiibia, kujidanganya, na kujitapelii....
Hembu kakae na kujifunza jinsi ya kujirudi badal ya kujiongezea makosa wakati wana CCM wengine wameshashtukia issue si njema tena.HUjamsiki hata Nape mwenyewe sijui hizi anachomekea tuu hayupo ktk ujinga wa mipango yako.Kwa ujumla wewe ni sadaka tayari.Na CDM watakudhalilisha hadi uthibitishie uma jinsi gani ulivyo -------- kw akiasi cha kuwa hasara kwa taifa la wastaarabu.
Wewe ni njia ya vumbi hadi akili yako,wenzio ni wa njia ya vumbi kwa historia tuu il akili zao ni global.