Kwa ujinga wako unadhani kukataa maelezo uliyoandika police kunaweza kukunasua kwenye kukutwa na makosa?Usijifanye mjuaji kwenye mambo ambayo una ujinga wote. Wawe na majeraha wasiwe nayo, wanaruhusiwa kuyakataa maelezo waliyoyatoa Polisi alimradi kama huko Polisi kulikuwa na mazingira ya kuwalazimisha kama vile mateso, vitisho, au masumbufu kama yale ya kuwaweka kwenye sero za Polisi kwa muda usiojulikana.
Toa mifano kama mtu mwerevu. Hili siyo jukwaa la vioja. Inaonekana mawazo yako mwisho wake ni kwenye chakula tu.Kwa hi
Kwa ujinga wako unadhani kukataa maelezo uliyoandika police kunaweza kukunasua kwenye kukutwa na makosa?
Hiyo huwa ni namna ya kurukaruka tu kama maharage kwenye sufulia lakini lazima yaive.
Uko sahihi KABISA.Polisi wengi wajingawajinga......wanauwezo mkubwa wa nguvu, huku wakiwa na uwezo mdogo wa akili (reasoning)!!!
Acha ujinga wewe!Kwa hi
Kwa ujinga wako unadhani kukataa maelezo uliyoandika police kunaweza kukunasua kwenye kukutwa na makosa?
Hiyo huwa ni namna ya kurukaruka tu kama maharage kwenye sufulia lakini lazima yaive.
Mahakama ina uwezo wa kuyaondoka maelezo ya awali ya washtakiwa kama watajirishidha kwamba walitenswa mno ili wakubali kuandika na kurekodiwa na hao mapolice. Hili halitakuwa jambo jipya.Watuhumiwa hao watatu walioshitakiwa pamoja na Mbowe Wameiomba Mahakama kutoyatambua maelezo waliyoyaandika Polisi kwa vile waliyaandika kwa shinikizo la vipigo na mateso, hayakuwa maelezo ya kweli , bali waliyaandika ili wasiuawe kwa mateso .
Ombi hilo limetolewa Mahakamani na washitakiwa hao watatu , waliodai kwamba walilazimishwa kuandika maelezo ya uongo kibabe na kwa mateso makubwa mno , Polisi walitesa watuhumiwa hao kinyama ili kulazimisha kwamba walitumwa na Mbowe kufanya ugaidi kwa lengo la kuhalalisha Tuhuma dhidi ya Freeman Mbowe zilizopangwa kishamba ili kuwafurahisha watawala
Washitakiwa hao wamedai kwamba ili kujinusuru na mateso makubwa ya kinyama na ya kudhalilisha walipokuwa mikononi mwa Polisi , walilazimika kuandika MAELEZO YA UONGO WALIYOYATAKA POLISI ili kuokoa uhai wao
Tutajuaje kama wao hao hao ndiyo wanaocheza mchezo wa kujikosha?
Hivi mahabusu washapewa chanjo ya UVIKO-19?
Miaka hii mitano imedhihirisha wazi kuwa mahakama sio huru kama ilivyo takiwa kuwa.Mahakama ni muhimiri huru.
Haimaanishi zikikosea zisisemwe eti kwasababu zimewahi kuamua sawasawa kesi moja katika 100000Lakini mahakama hizi hizi ndio tulizisifia pale zilipoondoa kesi za mbowe, mdude n.k, na zilipomshughulikia Sabaya pia
Kama wakati huo tuliziita huru, iweje sasa tusiziite hivyo?
This is low!! Hizi legal arguments hapa siyo mahali pake. Yaache hukohuko mahakamani. Ndiyo utawala wa kusheria unavyotaka. Chadema mnakwama wapi? Sasa unataka tufanye nini sisi hapa JF. Una uhakika walilazimishwa au la? Kesi hii itapangiwa jaji ambaye atajua uongo na ukweli ni upi. Kwa kuleta humu tujadili details za masuala yaliyo mahakamani ni kuonesha how fatuous you are . Please give us a break
Kila ubaya utalipwaukizingatia hawa walinzi walikuwa x- military, watakuwa wameteswa sana.. nakumbuka story ya Mdude kuteswa hadi kukojoa damu aisee !! ni dhambi kubwa mno - no wonder familia nyingi za mapolice huwa hazina amani na mafanikio maishani sababu ya kujitafutia laana kama hizi kwa koo zao.
Kwanini tuseme zinakosea zinaposhughulika na tunaowapenda?Haimaanishi zikikosea zisisemwe eti kwasababu zimewahi kuamua sawasawa kesi moja katika 100000
Kama hawakuwa na wanasheria kusimamia haki zao nyakati za kuandika maelezo husika, basi madai yao yana uzito; ni sahihi.Tutajuaje kama wao hao hao ndiyo wanaocheza mchezo wa kujikosha?
Kwa hiyo unachofurahia hapa ni nini kwamba wamekataa ushahidi walioandika police au ?Acha ujinga wewe!
Maelezo uliyoandika Polisi haiwezi kuwa ndiyo ushahidi pekee wa mtu kutiwa hatiani. Mtuhumiwa anaweza kulazimishwa kuandika kuwa ameaua@ gun point lakini USHAHIDI CONCRETE ukathibitisha kinyume chake.
Kwa hiyo ushahidi wa IGP Zero na Ole Subayi(Sabaya) au Ole na ngai hautakuwa ushahidi wa mwisho. There's a lot to be revealed in this case about Tanzania Police Force pre-planned and cooked evidences! Time gonna tell.