Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Tangu ile picha ya mh.Mbowe akiwa katika moody ya mahaba na mtu wake itoke kwenye mitandao,kumekuwa na maoni na shutuma nyingi kwa Mbowe mwenyewe na wengine kukihusisha chama na mambo binafsi ya mtu.

Swali langu ni je,kama Mbowe amekosa maadili na hafai kuwa kiongozi,je na yule alietangaza hadharani kuwa aliiba wali alipokuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa anatufaa kweli?Kama kosa la Mbowe ni kupiga picha ile hadharani huku yeye akiwa kiongozi,je na huyu kutangaza hadharani kua aliiba wali akiwa JKT alikuwa sahihi ukilinganisha na wadhifa aliona katika nchi hii?

CC: dotto rangimto

Mods,nawaomba msitoe wala msiunganishe huu uzi.
 
Last edited by a moderator:
Kama mleta uzi alimtaja Mbowe na kutoa picha yake wewe unashindwa kutoa hilo jina hapa jf?
 
watoto wa chekechea wamevamia JF na post zao wanazojadili mara baada ya kunywa uji wa saa nne...
 
Kama mleta uzi alimtaja Mbowe na kutoa picha yake wewe unashindwa kutoa hilo jina hapa jf?

Nilishawhi kuweka uzi hapa na kutaja jina ila mods waliondoa huo uzi.

Hii habari iliandikwa mpaka kwenye magazeti ila nashindwa kuelewa ni kwanini iliondolewa.
 
Kwa hiyo mleta mada ulivyovurugwa ndio unahalalisha uzinzi wa hili limbowe na jitidhada za mwanafunzi kujiokoa na njaa?
 
Nilishawhi kuweka uzi hapa na kutaja jina ila mods waliondoa huo uzi.

Hii habari iliandikwa mpaka kwenye magazeti ila nashindwa kuelewa ni kwanini iliondolewa.
Mijimama ya uswahilini utaijua tu
 
Tangu ile picha ya mh.Mbowe akiwa katika moody ya mahaba na mtu wake itoke kwenye mitandao,kumekuwa na maoni na shutuma nyingi kwa Mbowe mwenyewe na wengine kukihusisha chama na mambo binafsi ya mtu.

Swali langu ni je,kama Mbowe amekosa maadili na hafai kuwa kiongozi,je na yule alietangaza hadharani kuwa aliiba wali alipokuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa anatufaa kweli?Kama kosa la Mbowe ni kupiga picha ile hadharani huku yeye akiwa kiongozi,je na huyu kutangaza hadharani kua aliiba wali akiwa JKT alikuwa sahihi ukilinganisha na wadhifa aliona katika nchi hii?

CC: dotto rangimto

Mods,nawaomba msitoe wala msiunganishe huu uzi.

we ni hewa kwel....kwa hiyo chadema na chama cha huyo aliyeiba wali ni sawa?!
kama ndivyo, ni mabadiliko yepi sasa tunayoyapigania?!
 
kuiba wali ama Mali yeyote mafunzoni kwa kuruta, ile inayompa liziki ya siku SI KOSA, kosa AKIKAMATWA
kama mjomba Aliiba wali bonge la shujaa
 
Kwa hiyo alianza kuiba wali JKT leo anatuibia mamillion siyo??

Umenikumbusha mbali sana ................. JKT kuiba chakula ilikuwa unaonekana mjanja. Labda ndiyo ilikuwa ni one way ya kutengeneza wezi wa Taifa (Mafisadi). Maana Bongo ukiiba unaonekana ni mjanja!! Sera za CCM hizo!!
 
kuna mwingine mzee wa gombe alifoji umri ili apate kadi ya tanu
 
Hebu Lizaboni tupia ile picha ya Mbowe akila mate ya mwenzi wake hadharani. Kweli maadili yameporomoka.
 
Last edited by a moderator:
Tangu ile picha ya mh.Mbowe akiwa katika moody ya mahaba na mtu wake itoke kwenye mitandao,kumekuwa na maoni na shutuma nyingi kwa Mbowe mwenyewe na wengine kukihusisha chama na mambo binafsi ya mtu.

Swali langu ni je,kama Mbowe amekosa maadili na hafai kuwa kiongozi,je na yule alietangaza hadharani kuwa aliiba wali alipokuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa anatufaa kweli?Kama kosa la Mbowe ni kupiga picha ile hadharani huku yeye akiwa kiongozi,je na huyu kutangaza hadharani kua aliiba wali akiwa JKT alikuwa sahihi ukilinganisha na wadhifa aliona katika nchi hii?

CC: dotto rangimto

Mods,nawaomba msitoe wala msiunganishe huu uzi.

Wamuulize Kapuya au Komba
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom