Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hata kama ni mkewe Sasa ndilo limekuwa tangazo FACEBOOK!!!!!!!!!!!! Mburura bwana
 
Khaaa!Huyu si ni mkewe Lilian au?Jamaa aliyeleta post hii anajaza bure kabisa server ya JF!

Kama hujui uliza kwanza badala ya kuropoka madudu yako!
 
Huyo ni Mr&Mrs Mbowe and family ni mambo yao halali ya kifamilia sasa hakuna ukosefu wa kimaadili hapo,nyie maccm mliotupia humu na huko Facebook ndio hamna akili yaani akili zenu kama Yule askari aliefukuzwa kwa kuweka picha ya askari wenzake wakiwa kwenye mahaba
 
Please Mods,ondoeni huu ujinga humu sababu mambo binafsi ya mtu na familia yake sisi hayatuhusu
 
Go kiss your self if don have one to kiss.
Huyo kushoto kwa Obama ni mtoto wao pia.
Riz's daddy hana wa kumkiss hadharani coz atazua ugomvi na mtafaruku(ana wake wengi).
 

Attachments

  • 1413321770773.jpg
    1413321770773.jpg
    37.5 KB · Views: 676
Hii ndiyo singo mpya ambayo Mwenyekiti wenu asiyemheshimu Nyerere kiasi cha kushindwa kumwita Baba wa Taifa au Mwalimu badala yake akaanza kumwita Mzee Nyerere amewatuma muanze kuiuza kumwokoa na aibu na mashambulizi anayoyapata sasa ya kuonesha uwezo mdogo wa kiuongozi Kama ambavyo Mwalimu alimtabiria?

Au ndiyo singo mpya ambayo Mzee wa Weka Mbali na Tembo amewatuma vijana wake mje nayo ili kupunguza mashambulizi ya tuhuma za kumaliza tembo wetu ambazo zimeanza upya baada ya yeye kwa kushirikiana na mwenzake mmoja hivi walipoamua kumshambulia mwenzao mmoja katika circles za keki yao!

Waambieni wakuu wenu! Kila wanapokuwa wamezidiwa mashambulizi ya hoja za maana huwa wanaingiza mambo kama haya eti kubadili upepo na kuwarubuni wananchi!

Singo zilizoko mjini kwa sasa ni Katiba Mpya, Uchaguzi Serikali za Mitaa na

Siku zote wewe Makene huwa unatetea uozo. Usitutoe kwenye maada ya msingi. Kila kitu kinachofanywa na viongozi wako wewe unashabikia hata kama ni uozo. Jaribu kutumia akili angalau hata hiyo ndogo uliyonayo kudadavua mambo. Au ndo kusema kwamba unalinda kibarua kisiishe. Kuwa mtu mwenye busara. Hapa tunaongelea picha huyu kiongozi wa Chadema. Sasa kiongozi wa nchi ametoka wapi tena kwenye hiyo picha? Unatumika vibaya na siku wakikuchoka hao unaowatetea utakuja chuta. Waulize wenzako waliojifanya wanawatetea mpaka walishiriki kutunga Ilani ya uchaguzi ya chama chako, lakini walivyochokwa waliitwa wasaliti na wewe ukaja na ushabiki huo huo. Mnakiuwa chama kwa kushabikia vitu vya ajabu. Sasa mmebaki kwenye koti la UKAWA (Uchakachuaji wa Katiba ya Wananchi). Wakati washikaji walivyokuja na mkakati wa mabadiliko ndani ya chama mkawaita wahaini na wasaliti. Damu yao sasa inawatafuna.
 
Naona umekuja mbio mbio kumtetea bosi wako hadi unapata shida kuyanyoosha maandishi yako vizuri. Kijana kuwa mpole, hichi ambacho bosi wako amefanya sio kitu cha mzaha, ni aibu kubwa, ukosefu wa maadili na miiko.

Katika maelezo yako yote hapo juu, hakuna hata sentensi moja uliyogusia uchafu wa bosi wako Mbowe, bali ulichofanya ni ujanja ujanja wa kutaka kuigeuza mada! Kijana, kuwa mpole.

Hivi, kama uliweza kupigia kelele suala la askali wa usalama barabarani kupiga picha ya hovyo kama hiyo ya Mbowe na hadi askali wale husika wakaachishwa kazi. Iweje leo hii utete uozo wa bosi wako na kutaka kutuaminisha kuwa picha hiyo ya Mbowe ni ya kawaida tu na haina tatizo lolote? Badala yake unatutaka tukomalie katiba mpya? Hivi uandaaji wa katiba mpya unafanya mambo yote mengine yasijadiliwe!?

Mbona wale askali wa usalama barabara uliwajadili vizuri tu na huku mchakato wa katiba mpya ukiwa unaendelea!?

AIBU NI HII HAPA YA POLISI CCM
[h=1]#BBCtrending: The police officers fired for a kiss[/h]
_78181272_untitled.png

Continue reading the main story[h=2]Best of BBC Trending[/h]


When is it OK to kiss a colleague? Two Tanzanian police officers, whose kiss was widely shared on social media, have prompted a discussion about just that - and both have also lost their jobs.
A relationship with a colleague can throw up any number of complications, but the two young police officers in the picture may not have thought it would end their careers. The photograph - taken in Kagera, north west Tanzania - shows the pair kissing whilst dressed in their work uniforms, and was considered grounds for dismissal. Residents of the country have taken to social media to voice their dismay.
The image was uploaded to the internet by a third officer, who also took the photo, and drawn to the attention of the authorities at the Kagera police force. Henry Mwaibambe, the regional police commander, spoke to the BBC about the steps taken, and defends his department's decision. "We followed all disciplinary procedures to make sure that they were given a chance to defend themselves," he says. "The officer looking at the case was convinced there was compelling evidence against them, and that they had breached police code of conduct. That's why they lost their jobs." In this case it wasn't the kiss itself that led to their dismissal, but the fact that that it happened in public, whilst in uniform, and was subsequently posted online. Indeed, the officer behind the camera also lost his job over the incident.
The story was picked up by the local press last week, and news of the punishment has surprised many on social media. Most believed the response was disproportionate. "They should have been reprimanded, sacking them is extreme, huuh!" posted one on Facebook. "I once saw a pic of former US President the late Reagan kissing his wife in the Oval Office... and nobody called for his impeachment," said another. "Police couple kissing taken more serious than bribery," wrote a third on Twitter.
Masoud George, a lawyer at the Tanzania Legal and Human Rights Center says that as severe as the punishment seems, the decision is unlikely to be illegal. "It is according to their code of conduct, so from a legal point of view we can't say their dismissal was unfair."

 
Muleta mada Hammy D Ana wivu wa mke mwenza ...........

wapuuzi tu. Halafu anadai eti "...na mwanamke ambaye hakuweza kutambulika haraka.." Ulikuwa na haraka gani usisubiri kukauliza na kujua wahusika wa picha ni kina nani? Umbea sasa huo!
 
Hiyo mnayoiona ni familia ya mh.Mbowe. .anayemkiss ni Dr.Lillian Mtei..

.Hamida acha wivu wa kike!!!! Una tudhalilisha wanawake wenzako!
 
huenda yeye Mbowe hajavaa sare za chadema. but inasikitisha sana. He is a state diplomat
 
Siku zote wewe Makene huwa unatetea uozo. Usitutoe kwenye maada ya msingi. Kila kitu kinachofanywa na viongozi wako wewe unashabikia hata kama ni uozo. Jaribu kutumia akili angalau hata hiyo ndogo uliyonayo kudadavua mambo. Au ndo kusema kwamba unalinda kibarua kisiishe. Kuwa mtu mwenye busara. Hapa tunaongelea picha huyu kiongozi wa Chadema. Sasa kiongozi wa nchi ametoka wapi tena kwenye hiyo picha? Unatumika vibaya na siku wakikuchoka hao unaowatetea utakuja chuta. Waulize wenzako waliojifanya wanawatetea mpaka walishiriki kutunga Ilani ya uchaguzi ya chama chako, lakini walivyochokwa waliitwa wasaliti na wewe ukaja na ushabiki huo huo. Mnakiuwa chama kwa kushabikia vitu vya ajabu. Sasa mmebaki kwenye koti la UKAWA (Uchakachuaji wa Katiba ya Wananchi). Wakati washikaji walivyokuja na mkakati wa mabadiliko ndani ya chama mkawaita wahaini na wasaliti. Damu yao sasa inawatafuna.

Kwa kifupi kabisa ni kuwa unamwonea wivu mke wa Mbowe kubusiwa na mmewe au?? Wanawake punguzeni wivu.... wivu sio dawa.
 
WanaJF,

Kwa nafasi aliyonayo Mbowe kama mwenyekiti wa CHADEMA pia mbunge wa jimbo la Hai, kuna namna ambavyo anapaswa kuyaendesha maisha yake na SIO kuishi kihuni na kisela kama ambavyo amefanya katika picha zinazo endelea kusambaa mitandaoni!

Mbowe ambae pia ni mmoja wa viongozi wa UKAWA leo katika siku ya kukumbuka miaka 15 ya kufariki kwa baba wa taifa, ame-post kwenye ukurasa wake wa Facebook picha ambayo imejaa aibu na isiyo na maadili katika jamii yetu.

Picha ambayo Mbowe ame-post ni yenye kumuonyesha mheshimiwa huyo akimpiga "busu" mwanamke ambae hakufahamika kwa haraka wakiwa katika mgahawa.

Je, hayo ndiyo mambo ambayo kiongozi anayejitapa kuwa ana uadilifu anaweza kufanya? Ukizingatia tupo kwenye siku muhimu ya kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa taifa letu!

Je, picha hii ya Mbowe ina tofauti gani na ile ya askari wa usalama barabarani wakiwa wanapigana mabusu?

Rubbish.
 
Mods, usipo unguza hizi ids zitakusumbua. Umefunga ule uzi, uyu akaibukia hapa usiku wa manane.
 
yes tunataka mwenyekiti kama mbowe hapo nini cha ajabu hayo mambo binafsi RIJARI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom