Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
ile ya komba ili tusaidia nini watanzania? haikuwa binafsi?
ALiyekuwa naye alikuwa MKEWE?
ile ya komba ili tusaidia nini watanzania? haikuwa binafsi?
mkuu n'nashaka na uraia wako inawezekana na wewe uraia ni "pacha"
ALiyekuwa naye alikuwa MKEWE?
Hivi wewe huna kazi za kufanya had I ukae na adobe Photoshop uunge unge picha,kwa hiyo pitch umelipwa sh.ngapi me siyo mfuwasi wa chadema lakini kwa hyo picha nakukataa
hoja si kuwa mkewe hapa tunaangalia kama ni sawa kufanywa haya mbele za watoto kwa sisi waafrica!
Hivi kwanini huwa tunawakataza watoto wetu kuangalia tamthilia na huku tukipiga kelele zina waaribu? watoto wana jifunza nini kwenye hilo tukio?
Mkuu hiyo sio photoshop bali ni kitu chenyewe mama analiwa mate. Nenda mtaa wa pili kuna watoto wa ufipa wamezi-post hizo picha huku wakimfagilia kamanda kwa kujua malavidavi.
Acha ujinga na usijitoe akili hivi mtu kumbusu mkewe ina shida gani hata kama ni mbele ya watoto.
hayo ni maisha binafsi ya mtu, mi nashangaa kwenye thread unaizungumzia chadema halafu picha unaweka ya Mbowe
Katika watu hovyo nimleta mada hivi ujawai zunguka duniani? Nenda kangalie viongozi wengine huyo nimke wake na familia wacha kuleta majungu pole sana Mleta mada sitakushanga maana ulishindwa chadema ukakimbilia ugambani
Sasa sijui jufanya mambo haya mbele ya watoto ni nini?alfu hiyo NYUMBA ya DUBAI anawaingiza mara vimada mara mke wandoa!!kubwa zaidi ni pesa ya RUZUKU.
Maadili yanasemaji hasa ya kijamii?
Kwanini huwa tunapiga marufuku watoto wetu kuangalia tamthilia hasa tunazojua kila muda watu hu kiss? Huwa tuna hofia nini? Kuwa mkewe si hoja? Hii ndio njia pekee ya kuwaonesha watoto unampenda Mama yao?
Kweli waafrica hili jambo ni la kawaida?
Wanachotakiwa kufanya mods ni ku-balance tu ili hata zikija za upande wa pili wasiangalie huyu ni nani katika nchi.Mimi sina tatizo ila huwa sipendi doublestandardMods kwa heshima ya jukwa futa uzi huu Invisible.