Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Katika watu hovyo nimleta mada hivi ujawai zunguka duniani? Nenda kangalie viongozi wengine huyo nimke wake na familia wacha kuleta majungu pole sana Mleta mada sitakushanga maana ulishindwa chadema ukakimbilia ugambani

Kama ni mke wake ndio afanye ujinga mbele ya watoto? Mbowe hana maadili kabisa
 
Mbowe anajenga taswira mbaya ya ukosefu wa nidhamu kwa Chadema
 
Tunapofanya kumbukumbu ya miaka 15 ya kifo cha baba wa taifa Mwl Julius K Nyerere tunakumbuka juhudi zake za kuhamasisha na kuhimiza uadilifu. Uadilifu ambao ni kinga ya maovu yote, uadilifu ambao ni nguzo imara na msingi wa miiko ya viongozi. Hatuwezi kuwa na uongozi bora bila kuwa na viongozi waadilifu.

Chadema ni chama kinachojibebesha taswira ya uadilifu, chama kinachoomba ridhaa kwa watanzania ili kiweze kuaminiwa kukabidhiwa serikali lakini tangu juhudi hizo zisizo na mafanikio kuanza mihongo kadhaa iliyopita bado chadema hakijaweza kufikia lengo lake na kushimdwa huko kunatokana na aina ya viongozi ambao chama hicho wanao.

Mwenyekiti wa chama ambae anapaswa kuwa dira na ndiye anayetakiwa kuset standard ya namna bora ya kufanikisha mipango ya chama anapokosa uadilifu chama hakiwezi kufanikiwa..

sina haja ya kueleza mengi, picha imebeba ujumbe kamili..hakika chadema ni janga la kitaifa.

Huyo si mkewe.,..Sasa hasa ulitaka ambusu nani? Family moments
 
hiyo ni Korean kiss hata kama hutaki lazima wakutendeee, lol!! Mkuu wa makamanda huyo
 
Watanzania wenzangu kitendo hiki cha Mwenyekiti wa chama kikubwa cha upinzani, Mbunge wa jimbo la Hai na Kiongozi wa upinzani kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kusambaa kwa picha zake zikionyesha kubusuana na mwenzi wake mbele ya watoto ni kinyume kabisa na Mira na Tamaduni zetu sisi watanzania.
Sijawahi, toka udogo wangu mpaka sasa kuona haya mambo yakifanyika hadharani mbele ya watoto, hii kitu haipo hapa Tanzania, na hatupaswi kufundisha watoto wetu wala vijana wa Taifa hili tamaduni chafu kama hizi. Twaweza sema inatokeaga kwenye harusi lakini na ibakie huko kwenye harusi na iswe utetezi kwenye hili.
Kiongozi wetu mkubwa kama huyu kufanya haya na kuweka wazi kwenye jamii si sawa kabisa na Mh. Mbunge anafahamu hivyo. Mh. Mbowe anapaswa atuombe radhi na ajivue nyadhifa zake zote kwasasa sababu kitendo alichokifanya hakileti taswira njema kwa kiongozi mkubwa wa umma. Kwenye jamii yetu huu ni uhuni.


mbowe na kiss.jpg
 
Mwambie JK atuombe radhi kwanza kwa kusamehe wezi wa EPA ndio uje uhoji mambo binafsi ya mtu.
 
Hayakuhusu wewe uliambiwa upige picha uziweke huku? Huyo ni mke wake ingekuwa ni vimada kama komba ingekuwaje? Anza na Komba kwanza
 
wewe si umekulia kijijini,kweli vijijini hayo hayapo lakini hii ni 2014 sio 1974,ukiwa huna kitu cha kupost kaa kimya
MOD toa ujinga huu
 
kweli maendeleo yatachelewa kuja kama yuna watu wenye akili kama za huyu mleta mada
 
Hayakuhusu wewe uliambiwa upige picha uziweke huku? Huyo ni mke wake ingekuwa ni vimada kama komba ingekuwaje? Anza na Komba kwanza

Komba mbali, Jk huku Iringa tunamwita shemeji mbona hamsemi?
 
Watanzania wenzangu kitendo hiki cha Mwenyekiti wa chama kikubwa cha upinzani, Mbunge wa jimbo la Hai na Kiongozi wa upinzani kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kusambaa kwa picha zake zikionyesha kubusuana na mwenzi wake mbele ya watoto ni kinyume kabisa na Mira na Tamaduni zetu sisi watanzania.
Sijawahi, toka udogo wangu mpaka sasa kuona haya mambo yakifanyika hadharani mbele ya watoto, hii kitu haipo hapa Tanzania, na hatupaswi kufundisha watoto wetu wala vijana wa Taifa hili tamaduni chafu kama hizi. Twaweza sema inatokeaga kwenye harusi lakini na ibakie huko kwenye harusi na iswe utetezi kwenye hili.
Kiongozi wetu mkubwa kama huyu kufanya haya na kuweka wazi kwenye jamii si sawa kabisa na Mh. Mbunge anafahamu hivyo. Mh. Mbowe anapaswa atuombe radhi na ajivue nyadhifa zake zote kwasasa sababu kitendo alichokifanya hakileti taswira njema kwa kiongozi mkubwa wa umma. Kwenye jamii yetu huu ni uhuni.


View attachment 193361

Wacha wivu wewe, ndoa yako imekushinda sasa unaingingilia za wengine. Mi nampa hongera sana mbowe kwa hili, inaonyesha ni kiasi gani yupo imara kwenye familia yake.
 
umejitahidi kutoa povu mweeeeehhh!!

yaani picha hiyo ndo ajivue uongozi na kuomba radhi..

mweeeeeeeehhhh!!
 
photoshop hiyo umejitahidi ila angalia kwanza viganja vya mheshimiwa Mbowe kimoja kikubwa na kingine kidogo
2.mkono wa huyo binti umezama sana shingoni yaan shingo umemeza kiganja cha mkono cha binti
3.kwenye kiganja cha mkono wa mbowe alioshikilia kidevu mdau amejaribu ila kuna uchafi ameshinwa utoa wakati wa editing lol!!
sahme on you.
 
hakuna kudondosha hata tone la udendaaaaa.......RAISI mumtarajiayeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom