Nawasalimu WOTE kwa jina la JF,
Mwanzoni kiss Fm redio ilikuwa inashika vizuri tu,mara ikaanza leo inapatikana, kesho haishiki mwishowe kwa sasa haishiki kabisa Dodoma kwa zaidi ya miezi kama 5 na zaidi sasa,
Nayo Star Tv nayo ikaanza ukauzu wake,mara inapatikana,cku nyingine haipatikani, na kwa sasa haipatikani kabisa dom! Kwa miezi kadhaa sasa.
Tunashindwa kuelewa nini tatizo hasa sisi wapenzi wa hiki kituo cha Tv.
Kweli 2nakosa uhondo wa vipindi vyao 2livyokuwa 2nafuatilia.
Hasa zaidi imenifanya nishindwe kufuatilia live michuoano ya kombe la Kagame nasikia wao pekee ndio wanaonyesha.
Tena leo ndio fainali SIMBA & YANGA, yani natamani kulia.
Mwanzoni kiss Fm redio ilikuwa inashika vizuri tu,mara ikaanza leo inapatikana, kesho haishiki mwishowe kwa sasa haishiki kabisa Dodoma kwa zaidi ya miezi kama 5 na zaidi sasa,
Nayo Star Tv nayo ikaanza ukauzu wake,mara inapatikana,cku nyingine haipatikani, na kwa sasa haipatikani kabisa dom! Kwa miezi kadhaa sasa.
Tunashindwa kuelewa nini tatizo hasa sisi wapenzi wa hiki kituo cha Tv.
Kweli 2nakosa uhondo wa vipindi vyao 2livyokuwa 2nafuatilia.
Hasa zaidi imenifanya nishindwe kufuatilia live michuoano ya kombe la Kagame nasikia wao pekee ndio wanaonyesha.
Tena leo ndio fainali SIMBA & YANGA, yani natamani kulia.