aibu kwa wanasheria TLS!

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Kwa Ujumla Yaliyomo Kwenye Tovuti Ya Chama Cha Wanasheria Nchini Tanzania (Tanganyika Law Society (TLS) Ni Aibu na yanachefua Kwa Wasomi Wa Sheria Ukilinganisha Na Taaluma Nyingine. Inaonekana Kana Kwamba Hakuna Sekretariate Makini Ya Kukisaidia Chama Hicho Muhimu Kwa Taifa.AU PENGINE CHAMA HAKINA UWEZO WA KIFEDHA KUWEZA KUJIENDESHA na KINAHITAJI MSAADA KAMA FEDHA ZA ADA ZA WANACHAMA HAZITOSHI????

Ukitembelea tovuti ya chama hiki www.tanganyikalawsociety.org.tz" utaona jinsi ilivyoingiliwa kama kwamba hakuna mtaalamu wa IT kwenye ofisi ya TLS au kama yupo halipwi vizruri.

Kwenye ukurasa wa mbele uingiatu tu unakutana na tangazo la zamani la "International Bar Assocaition Meeting YA Madrid, Tarehe 4 OKTOBA 2009".

Kwenye Links zote zilizoorodheshwa Hakuna Lolote Isipokuwa Matangazo Ya Mikutano Iliyopita Ya Wanachama.

Taarifa ambazo Mtukufu Rais wa TLS anataka wadau tuchungulie katika tovuti ya wanasheria hawa wa nchi yetu ni kama hizi:

HIVI WADAU KUNA LOLOTE PALE TLS????
 
Kwanza kabisa mimi naona hicho chama hakipo,mimi nilitegemea chama cha wanasheria kingekuwa mstari wa mbele kutetea masilahi ya nchi pale yanapokuja masuala ya mikataba mibovu,kwani hiyo mikataba huandikwa na wanachama wa chama cha wanasheria,pia nilitegemea hicho chama kuwa msitari wa mbele kuelemisha wananchi juu ya sheria za msingi za wananchi wa taifa hili pale upotoshwaji wa mambo unapotokea kama alivyopotosha waziri Chikawe na pia ningetarajia kuwa waelekezi kuhusu umuhimu wa kuwa na katiba mpya.Hiki chama kingejifunza kutoka chama cha wanasheria Kenya,ni aibu kwa chama cha wanasheria hapa Tanzania kukaa pembeni wakati mambo yanaenda kombo,wanasheria kwa kutokana na taaluma yao ni watu muhimu sana katika kuleta mabadiliko nchi hii,na si kushugulikia kesi za mahakamani tum
 
nachojua mimi wanayo programm ya legal aid ambapo wananchi wenye shida mbalimbali wasioweza kulipa mawakili wanasaidiwa kwenye kesi zao.
 
Kwa Ujumla Yaliyomo Kwenye Tovuti Ya Chama Cha Wanasheria Nchini Tanzania (Tanganyika Law Society (TLS) Ni Aibu na yanachefua Kwa Wasomi Wa Sheria Ukilinganisha Na Taaluma Nyingine. Inaonekana Kana Kwamba Hakuna Sekretariate Makini Ya Kukisaidia Chama Hicho Muhimu Kwa Taifa.AU PENGINE CHAMA HAKINA UWEZO WA KIFEDHA KUWEZA KUJIENDESHA na KINAHITAJI MSAADA KAMA FEDHA ZA ADA ZA WANACHAMA HAZITOSHI????

Ukitembelea tovuti ya chama hiki www.tanganyikalawsociety.org.tz” utaona jinsi ilivyoingiliwa kama kwamba hakuna mtaalamu wa IT kwenye ofisi ya TLS au kama yupo halipwi vizruri.

Kwenye ukurasa wa mbele uingiatu tu unakutana na tangazo la zamani la “International Bar Assocaition Meeting YA Madrid, Tarehe 4 OKTOBA 2009”.

Kwenye Links zote zilizoorodheshwa Hakuna Lolote Isipokuwa Matangazo Ya Mikutano Iliyopita Ya Wanachama.

Taarifa ambazo Mtukufu Rais wa TLS anataka wadau tuchungulie katika tovuti ya wanasheria hawa wa nchi yetu ni kama hizi:

HIVI WADAU KUNA LOLOTE PALE TLS????

Kwa kawaida wanasheria huwa wanatakiwa wasiwe watu wa kutoa sweeping statements. Mimi sitaki kuwatetea hawa watu wa TLS kwa kuwa na website mbaya isiyoridhisha wala kuwa updated.

Sisi kama wadau wa sheria kwenye jukwaa hili tunajukumu la kuwakumbusha wenzetu kuwa wamejisahau.

Tusisahau kuwa kuna msemo wa No research no Right to Speak. Perhaps wana sababu kwa nini website yao iko vile. Baadhi ya sababu hizo ni pamoja na zifuatazo:
1. Pengine hawana mtu wa IT
2. Pengine wana mpango wa kutengeneza website mpya
3. Pengine mtu wao wa kuupdate website ni mzembe na hasimamiwi
4. so many other explanations.

My take is someone should take the lead and let them know.

Kuhusu suala la nini chama kinafanya mimi kama mwanachama wa TLS nikianza kusema nitakuwa biased. Nafikiri wanafanya vizuri sana ingawa bado chama kinaendeshwa kiubabe na watu walewale wa siku zote. Hakuna demokrasia ya kweli na vijana hawapewi nafasi/hawajitokezi kuonyesha uwezo wao.

Mimi ningeona ni vema tukamuomba mtu kutoka katika sekretariat ya TLS aje hapa jukwaani au ahojiwe atueleze ni kwa nini chama chao kimedorora (kama ni kweli).
 
Kwa kawaida wanasheria huwa wanatakiwa wasiwe watu wa kutoa sweeping statements. Mimi sitaki kuwatetea hawa watu wa TLS kwa kuwa na website mbaya isiyoridhisha wala kuwa updated.

Sisi kama wadau wa sheria kwenye jukwaa hili tunajukumu la kuwakumbusha wenzetu kuwa wamejisahau.

Tusisahau kuwa kuna msemo wa No research no Right to Speak. Perhaps wana sababu kwa nini website yao iko vile. Baadhi ya sababu hizo ni pamoja na zifuatazo:
1. Pengine hawana mtu wa IT
2. Pengine wana mpango wa kutengeneza website mpya
3. Pengine mtu wao wa kuupdate website ni mzembe na hasimamiwi
4. so many other explanations.

My take is someone should take the lead and let them know.

Kuhusu suala la nini chama kinafanya mimi kama mwanachama wa TLS nikianza kusema nitakuwa biased. Nafikiri wanafanya vizuri sana ingawa bado chama kinaendeshwa kiubabe na watu walewale wa siku zote. Hakuna demokrasia ya kweli na vijana hawapewi nafasi/hawajitokezi kuonyesha uwezo wao.

Mimi ningeona ni vema tukamuomba mtu kutoka katika sekretariat ya TLS aje hapa jukwaani au ahojiwe atueleze ni kwa nini chama chao kimedorora (kama ni kweli).
kwi kwi kwi, muiteni bosi wao emilia, kwa jinsi alivo mbabe atawatoa spidi!
 
Ma lawyers are pretending to too busy to bother with little things!. Hawa ni the so called'Learned Brothers and Sisters'
 
Ma lawyers are pretending to too busy to bother with little things!. Hawa ni the so called'Learned Brothers and Sisters'


Pasco,


kama lawyers ni learned brothers basi taaluma imekufa na hicho chama kitakuwa ni "DANGANYIKA LOO SOSA HAYATI". Once upon a time Prof. Issa Shivji aliwahi kuwahasa kuwa "lawyers are Learning Brothers, rather than learned ones"., Mmepotea kwa kushindwa kujua uhalisia wa mambo, mjifunze kutoka kwa taaluma nyingine ili kuweza kujua kama kweli usomi wenu ni zaidi au lah kwa nia ya kusaidia wengine!.

Huu umangimeza kwenye taaluma ya uwasheria ndio unaoua vipaji, kwa kudhain unajiua kumbe unaungua na jua!.

Chama hakina mwelekeo lakini "you're pround to say wewe ni mwanachama wa TLS"...hii ni aibu kubwa mbele ya wenzenu hasa Mashemeji zenu "Wahandisi".

Majigambo ya wanasheria yamepelekea hata kuona Shirikisho la Afrika ya Mashariki ni kikwazo kwa wa Tanzania kwa kuwa hatujajiandaa na siku zote hatupo tayari kwa mabadiliko. Hivi kama haki zenu mnashindwa kuzitetea huko Mahakamani mnatetea nini?.

Nilidhani Dr. Fauzi ana upeo kumbe ndo tatizo kabisa kwa TLS !
 
By the way, do we still boast of having 'Tanganyika'? Inawezekana hata jina wanachelewa kuli-update.
 
kwanza kabisa mimi naona hicho chama hakipo,mimi nilitegemea chama cha wanasheria kingekuwa mstari wa mbele kutetea masilahi ya nchi pale yanapokuja masuala ya mikataba mibovu,kwani hiyo mikataba huandikwa na wanachama wa chama cha wanasheria,pia nilitegemea hicho chama kuwa msitari wa mbele kuelemisha wananchi juu ya sheria za msingi za wananchi wa taifa hili pale upotoshwaji wa mambo unapotokea kama alivyopotosha waziri chikawe na pia ningetarajia kuwa waelekezi kuhusu umuhimu wa kuwa na katiba mpya.hiki chama kingejifunza kutoka chama cha wanasheria kenya,ni aibu kwa chama cha wanasheria hapa tanzania kukaa pembeni wakati mambo yanaenda kombo,wanasheria kwa kutokana na taaluma yao ni watu muhimu sana katika kuleta mabadiliko nchi hii,na si kushugulikia kesi za mahakamani tum
wanasheria wote wa tanzania wako bize kuandaa mikataba ya kuuza nchi through mikataba FEKI!!!
 
Nilianzisha thread inayoitwa Tanganyika Law(less) society !It is a big joke hawa wana sheria wetu!
 
Tusisahau kuwa kuna msemo wa No research no Right to Speak. Perhaps wana sababu kwa nini website yao iko vile. Baadhi ya sababu hizo ni pamoja na zifuatazo:
1. Pengine hawana mtu wa IT

2. Pengine wana mpango wa kutengeneza website mpya
3. Pengine mtu wao wa kuupdate website ni mzembe na hasimamiwi
4. so many other explanations.

My take is someone should take the lead and let them know.


MZEE advocate!

hili ni tangazo la kazi ya webmaster lililopostiwa na Chaumbea ,mwezi Juni, 2009 kwn hii JF. Sielewi kama TLS wamepata ujumbe wa wanajamii manake nimejaribu kufuatiliwa sijaweza kuiona tena tovuti kongwe www.tanganyikalawsociety.org.tz hewani . Badala yake kuna maelezo. "This website is currently under construction..." na sina uhakika kama wanachama mmejulishwa au mnafahamu haya ya ujenzi wa tovuti mpya.

Kama hamjafahamishwa basi hayo ndio mapungufu ya kiutendaji na kutokuwa makini kwenye taaluma ikiwa ni pamoja na kutofutailia kabisa yanayoendelea kupitia hiyo tovuti labda kwa kuona haina jipya au vinginevyo.




Vacancy

PART TIME WEBMASTER​

The Tanganyika Law Society (TLS) is the professional, membership-based organisation for practising and non-practising lawyers in Tanzania Mainland. The TLS prime objective is to further the rule of law by managing all the affairs of its members and advising both the government and the public in all matters pertaining to the law.


The Tanganyika Law Society invites applications from suitably qualified and self-motivated Tanzanians to fill the position of a Webmaster who will manage the society's website Welcome to Tanganyika Law Society official website on a part time basis.

The TLS Webmaster's role is to coordinate the planning, maintenance, and accessibility of website content in a way that ensures it meets standards agreed upon by TLS.

Tasks to be performed:



•
Coordinate with content creators from across the organization for updates of content.



• Liaise with external website Host Company on hardware and software issues that affect the Web site and its availability.
• Develop, implement, and adhere to a regular Web site maintenance policies and procedures, including update/maintenance schedules, to ensure site accuracy and timeliness.
• Assess competing web sites as regards content, look and feel, and functionality, and make improvement recommendations to TLS.
• Ensure a consistent look and feel across the Web site by promoting uniform fonts, formatting, icons, images, and layout, and creating appropriate templates to assist content authors.
• Find, diagnose, and fix Web site problems, including broken links (both internal and external), typographical errors, and formatting inconsistencies.
• Analyze report on, and take action on web site user feedback and web site traffic.
• Help create and maintain a reference archive for older versions of the Web site and its content.
• Keep track of when renewals are due, order new domain names and liaise with TLS for renewals.

Requirements


• A degree or Advanced Diploma in the field of computer science and/or 3 years equivalent work experience



• Comprehensive experience with all aspects of Web site content management.
• Knowledge of Dream weaver applications & coding with HTML,
• Strong understanding of communications, marketing, and customer service principles.
• Experience with computer graphics and multimedia design.
• Excellent written and oral communication skills.
• Must be able to work a flexible schedule in order to meet the TLS needs.
Salary and benefits:


The fee payable to the successful candidate will be negotiable depending on the candidate's qualification and experience.


Mode of application:



If you feel that you meet these requirements and you wish to join a dynamic and self-motivated team, apply in confidence by enclosing an application letter, a detailed Curriculum Vitae (CV), relevant copies of your certificates. Enclose also the names and addresses of two referees together with a telephone number where you can be reached.




A hard copy of the application should reach the TLS not later than 12 May 2009, addressed to: Chairperson, Research and Publications Committee, Tanganyika Law Society, IPS Building, 9th Floor, P.O Box 2148, Dar es Salaam. You can also apply online at info@tanganyikalawsociety.or.tz
 
Back
Top Bottom