ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kwa Ujumla Yaliyomo Kwenye Tovuti Ya Chama Cha Wanasheria Nchini Tanzania (Tanganyika Law Society (TLS) Ni Aibu na yanachefua Kwa Wasomi Wa Sheria Ukilinganisha Na Taaluma Nyingine. Inaonekana Kana Kwamba Hakuna Sekretariate Makini Ya Kukisaidia Chama Hicho Muhimu Kwa Taifa.AU PENGINE CHAMA HAKINA UWEZO WA KIFEDHA KUWEZA KUJIENDESHA na KINAHITAJI MSAADA KAMA FEDHA ZA ADA ZA WANACHAMA HAZITOSHI????
Ukitembelea tovuti ya chama hiki www.tanganyikalawsociety.org.tz" utaona jinsi ilivyoingiliwa kama kwamba hakuna mtaalamu wa IT kwenye ofisi ya TLS au kama yupo halipwi vizruri.
Kwenye ukurasa wa mbele uingiatu tu unakutana na tangazo la zamani la "International Bar Assocaition Meeting YA Madrid, Tarehe 4 OKTOBA 2009".
Kwenye Links zote zilizoorodheshwa Hakuna Lolote Isipokuwa Matangazo Ya Mikutano Iliyopita Ya Wanachama.
Taarifa ambazo Mtukufu Rais wa TLS anataka wadau tuchungulie katika tovuti ya wanasheria hawa wa nchi yetu ni kama hizi:
Ukitembelea tovuti ya chama hiki www.tanganyikalawsociety.org.tz" utaona jinsi ilivyoingiliwa kama kwamba hakuna mtaalamu wa IT kwenye ofisi ya TLS au kama yupo halipwi vizruri.
Kwenye ukurasa wa mbele uingiatu tu unakutana na tangazo la zamani la "International Bar Assocaition Meeting YA Madrid, Tarehe 4 OKTOBA 2009".
Kwenye Links zote zilizoorodheshwa Hakuna Lolote Isipokuwa Matangazo Ya Mikutano Iliyopita Ya Wanachama.
Taarifa ambazo Mtukufu Rais wa TLS anataka wadau tuchungulie katika tovuti ya wanasheria hawa wa nchi yetu ni kama hizi:
- The President's Diary - ( hakuna tukio, la mwisho ni Januari – Feb-2009)
- Governing Council – (picha zilizowekwa kienyeji za wajumbe na nafsi zao)
- List of presidents – (Orodha ya majina hakuna maelezo ya kina )
- Photo Gallery - (This may be the best area to see out of professional!!! ) Utadhani chama cha Wapiga Picha za Matukio!
- Newsflash- ( Mwisho Juni, 200
- Committees( Ni orodha tu na majukumu,hakuna rekodi za utendaji wa hizo Kamati wala chochote makini)
- Speeches and Reports (No update)
- LAAC Project (picha ya mbunifu majengo Architect ya Mradi wa LAAC)
- News and events (hakuna kitu, sijui hawana la kufanya??)
- Roll of Advocates ( angalu hapo majina yapo)
- Programmes ( ni orodha isiyo na maelezo)
- Publications(hakuna chochote zaidi ya doc mbili za mwaka, 2007)
- Frequently Asked Questions - FAQTopic for discussion (yaonekana hakuna maswali yaliyoulizwa au pengine hata wangebuni na kujibu wenyewe)
- Case Notes ( Hakuna chochote kana kwamba hakuna kesi zinazoendelea mahakamani )
- Topic for Discussion (Hapa ni orodha tu ya hoja mbili "Fees" na Kuchelewa kwa Kesi tu, hakuna majadiliano yeyote, )
- Useful Links ( Hapa ndipo TLS wanapojianika kwa kuelekeza Links za wenzao makini kwenye taaluma )
- Contact us(9th FLOOR, IPS Building)