Kwanini CHADEMA isikatae support kutoka TLS?

Kwanini CHADEMA isikatae support kutoka TLS?

malemba

Senior Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
157
Reaction score
122
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
 
Hujui usemalo/uandikalo na bahati mbaya zaidi ni kuwa hujui kuwa hujui lakini unafikiri unajua...!!

Je, ungependa tukuelimishe...?
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Yaani chadema wanahusikaje na maamuzi ya tls? Chadema waliwaita? No, waliwaomba ls no

Chama chochote cha siasa kinahitaji support kutoka taasis yoyote ile,

Mbona ccm wako supported na jeshi, polisi na taasisi zingine ambazo ni za umma?
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Ikatae ili kile chama haramu na washirika wao wawanyanyase vizuri?
 
Yaani chadema wanahusikaje na maamuzi ya tls? Chadema waliwaita? No, waliwaomba ls no

Chama chochote cha siasa kinahitaji support kutoka taasis yoyote ile,

Mbona ccm wako supported na jeshi, polisi na taasisi zingine ambazo ni za umma?
acha upotoshaji gentleman,

Chama Chochote cha siasa Tanzania, kinachoshinda uchaguzi mkuu na kupewa dhamana ya umma ya kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi, kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo, kinawajibika kutumia taasisi, asasa na mamlaka zote zote za umma katika kuongoza nchi na kutekeleza ilani iliyoko kubaliwa na wananchi kwa kura.

Mathalani,
hata CHAUMMA au chama kingine cha siasa kikishinda uchaguzi mkuu 2030, vyombo vyombo vya ulinzi na usalama, mihimili yote ya nchi, watumishi wote wa umma n.k rasmi wanakua chini ya chama cha siasa kilichopewa dhamana ya kuongoza nchi.

Hakuna muujiza wa kukwepa wala kuutenganisha utaratibu huo Tanzania na kwenye serikali zote za wanadamu kote ulimwenguni.

hiyo habari ya eti TLS sijui inasapoti nini huko, halafu unailinganisha na serikali sikivu ya CCM na taasisi za umma, ni kitu useless na completely nonsense 🐒
 
KWani TLS wanaunga mkono CDM au wanakemea uvunjwaji wa haki na kutaka taratibu zifuatwe?

Kutaka HAKI ni wajibu wa taasisi au mtu YEYOTE.

Tatzo CCM wanatumia mahakama, bunge, polisi, jeshi, usalama n.k katika UVUNJAJI HAKI.

Vyombo vyote vinatakiwa kuwajibika kwa wananchi ila sasa vinatumika dhidi ya wananchi. Hapo tunaita STATE CAPTURED....

CCM ni MADHALIMU
Period.
I am teaching my children to understand that and they will teach their friends the same. The coming generations will never joke with you bastards
 
Yaani chadema wanahusikaje na maamuzi ya tls? Chadema waliwaita? No, waliwaomba ls no

Chama chochote cha siasa kinahitaji support kutoka taasis yoyote ile,

Mbona ccm wako supported na jeshi, polisi na taasisi zingine ambazo ni za umma?
Ninyi sio ndio mnaolalamika na hiyo hali?
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Aisee
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Fikira ya mtu mwenye elimu mbalimbali
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Afadhali iungwe mkono na TLS isiyoteka na kuua kama vyombo vya usalama vinavyo teka na kuua kwa niaba ya CCM.
 
Habari zenu, TLS ni taasisi inayohudumia watu wote bila ya kuzingatia itikadi, dini, rangi wala ubaguzi wa aina yeyote.

Lakini chama cha CHADEMA kinakubali kuungwa mkono na chama cha mawakili Tanganyika ilihali wanafahamu fika chama hicho ni taasisi ya umma.

Wakati huo huo wanailaumu CCM kuungwa mkono na taasisi za umma kama vile mahakama,polisi na usalama.

Je, hapo mbona hakuna uadilifu katika kulaumu na kushtumu mambo.
Nyie ni wapuuzi
Kuna mjinga mwenzio alipost hapa kwamba TLS ifutwe
Yaani watu wa ccm wanataka wote tufanane akili uliona wapi watu wote wakafikiria sawa?
 
Back
Top Bottom