GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
kwa nafasi yake huyu jamaa (nape) ingekua ni fursa kwake ajaribu kurudisha imani ya watz dhidi ya ccm hasa vijana kwa kuwa mhalisia kwa kuendana na mabadiliko ya kisiasa napata shida juu ya uwezo wake na nafasi aliyopewa na hii ni kutokana na kile anachokihubiri kwenye majukwaa kila siku, either si mwanasiasa makini au hasomi alama za nyakati,ccm ya leo si ya kutawala milele ni yeye aliyetaka kuikimbia japo anakataa na leo anasema yuko radhi abaki peke yake ndani ya chama si kujidanganya huku na atakuwa na mchango mkubwa sana kukiua chama
Kila kiongozi, mwanachama, mpenzi wa cdm wanamlalamikia Nape, huyu jamaa kweli yaonekana mmeshindwa kumdhibiti