jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
Wajameni,
nape yupo dunia hii kweli.
nataka atueleze maana ya kinyago wamechonga wao halafu kiwatishe.
swali kwake,je kama wamechonga wao iweje wakiige kwa kila kitu
tizama,
1. m4c ilifanyika jangwani,ITV wakairusha live kuanzia saa kumi.
eti nao wame-copy bila hata ku-paste wala ku-edit..
vile vile,wanaitangaza ITV na watakua live pia kuanzia saa kumi siku ile ile jmos
2. wanafata makombo nyuma.m4c ikipita nao wanafata.
ndio kusema wameishiwa sera,wanasubiri waanzishiwe nao wanaiga.
kazi wanayo..
3.je kazi yao ni kujibu hoja za kinyago walichokichonga wao?na kama hakiwatishi si watulie tu waone mziki wake.
watanyea debe!! kibaya zaidi hawajibu hoja bali wanatukana.
nina wasiwasi na watoto watakaoenda kucheza kiduku jangwani.watoka na mimatusi wanaenda kuisema kwa wazazi wao.
upuuzi wao sasa..
eti wanazungumzia mikakati ya miundo mbinu leo kwa ahadi waliyotoa 2005;wamechokaaaa hao!!!
eti,mataalamu wao kutatua umasikini ni wasira,kituko!!
swali kwa nape.mbona ana-act kama pinda wakati yeye niwa itikadi tu,imekaaje?.
yaani ktk chama looote,namuona yeye tu ndio anahaha,wkt kuna mkama.kikwete etc.
iweje yeye tu.ama kweli ni vuvuzela!!!
nape yupo dunia hii kweli.
nataka atueleze maana ya kinyago wamechonga wao halafu kiwatishe.
swali kwake,je kama wamechonga wao iweje wakiige kwa kila kitu
tizama,
1. m4c ilifanyika jangwani,ITV wakairusha live kuanzia saa kumi.
eti nao wame-copy bila hata ku-paste wala ku-edit..
vile vile,wanaitangaza ITV na watakua live pia kuanzia saa kumi siku ile ile jmos
2. wanafata makombo nyuma.m4c ikipita nao wanafata.
ndio kusema wameishiwa sera,wanasubiri waanzishiwe nao wanaiga.
kazi wanayo..
3.je kazi yao ni kujibu hoja za kinyago walichokichonga wao?na kama hakiwatishi si watulie tu waone mziki wake.
watanyea debe!! kibaya zaidi hawajibu hoja bali wanatukana.
nina wasiwasi na watoto watakaoenda kucheza kiduku jangwani.watoka na mimatusi wanaenda kuisema kwa wazazi wao.
upuuzi wao sasa..
eti wanazungumzia mikakati ya miundo mbinu leo kwa ahadi waliyotoa 2005;wamechokaaaa hao!!!
eti,mataalamu wao kutatua umasikini ni wasira,kituko!!
swali kwa nape.mbona ana-act kama pinda wakati yeye niwa itikadi tu,imekaaje?.
yaani ktk chama looote,namuona yeye tu ndio anahaha,wkt kuna mkama.kikwete etc.
iweje yeye tu.ama kweli ni vuvuzela!!!