UNAHISI KWA UTANGULIZI HUU NN KINAFWATA KWA JOSHUABondia wa Tanzania aitwa Seleman Said ,amepewa kipigo cha paka mwizi raundi ya kwanza kwa knock out kutoka kwa bondia wa marekani.Shindalo ili ni shindano la utangulizi kabla la shindano kati ya la Joshua na Ruiz ambalo linafanyika leo hii. Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxjen.Baada ya kupata nguvu na kusimama refa aliamua kumaliza mchezo huo na kumpa ushindi bondia kutoka marekani.mchezo unaofatia ni wa Joshua na Ruiz .Pia katika mshindano haya ya leo kuna bondia wa Tanzania mwingine kwa jina anaitwa Mohamed Swedi nae alipigwa kwa knock out bila msaada wa refa tungesikia mengine.
Hatari sanaBondia wa Tanzania aitwa Seleman Said ,amepewa kipigo cha paka mwizi raundi ya kwanza kwa knock out kutoka kwa bondia wa marekani.Shindalo ili ni shindano la utangulizi kabla la shindano kati ya la Joshua na Ruiz ambalo linafanyika leo hii. Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxjen.Baada ya kupata nguvu na kusimama refa aliamua kumaliza mchezo huo na kumpa ushindi bondia kutoka marekani.mchezo unaofatia ni wa Joshua na Ruiz .Pia katika mshindano haya ya leo kuna bondia wa Tanzania mwingine kwa jina anaitwa Mohamed Swedi nae alipigwa kwa knock out bila msaada wa refa tungesikia mengine.
Bondia wa Tanzania aitwa Seleman Said ,amepewa kipigo cha paka mwizi raundi ya kwanza kwa knock out kutoka kwa bondia wa marekani.Shindalo ili ni shindano la utangulizi kabla la shindano kati ya la Joshua na Ruiz ambalo linafanyika leo hii. Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxjen.Baada ya kupata nguvu na kusimama refa aliamua kumaliza mchezo huo na kumpa ushindi bondia kutoka marekani.mchezo unaofatia ni wa Joshua na Ruiz .Pia katika mshindano haya ya leo kuna bondia wa Tanzania mwingine kwa jina anaitwa Mohamed Swedi nae alipigwa kwa knock out bila msaada wa refa tungesikia mengine.
We dogo yule sio mayaiKO dk ya 2 round ya kwanza, alafu kachapwa na dogo mayai mayai anamiaka 18.