Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,103
- 34,062
Nimesikia wale ni mashamba boy wa nyumba za waarabu huko Saudi Arabia.Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Asubuhi walikula urojo, maziwa ya ngamia na tende wakati wenzao walikula heavy meal kabla ya kuingia ulingoni.