Aibu kuu kwa nchi yangu Tanzania huko Saudi Arabia: Bondia apigwa kipigo cha mbwa koko

Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.

Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?

Nani kahusika na hujuma hii?
Nimesikia wale ni mashamba boy wa nyumba za waarabu huko Saudi Arabia.

Asubuhi walikula urojo, maziwa ya ngamia na tende wakati wenzao walikula heavy meal kabla ya kuingia ulingoni.
 
Katika dhulma tumefanyiwa Tanzania ni hao mabondia yaani hata kuweka gurd tu hawajui, hata kama ni njaa tumezidi kuiendekeza, wote waliohusika wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi pumbavu kabisa hawa.
 
Watu kama akina scorpion wanawapa matizi ya kutosha ya boxing kisha wanawapeleka huko angalau wanaweza fanya kitu,kuliko kuyajaza jela yanakula bure,
 
Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.

Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?

Nani kahusika na hujuma hii?
Yule sijui wamemuokota Buza kwa mparange!!? yaani jitu halina record ya maana mnalipeleka kwenye ubingwa wa dunia pambano la utangulizi na yule mmexico undefeated kweli!! eti Bondia anaitwa Selemani Saidi ! eboh! mngepokea sanduku airport! Shubamiti!! yaani round ya kwanza dk 1.35 mtu chaliii, na walahi angenyanyuka tu angekufa.
 
Hiyo ni kawaida kwenye mchezo wa ndondi
Atajipanga vzr kwenye mchezo mwingine
Any way kile kikombe alichopewa si mchezo

Ova
 
Bondia wa Tanzania aitwa Seleman Said, amepewa kipigo cha paka mwizi raundi ya kwanza kwa knock out kutoka kwa bondia wa Marekani.

Shindalo ili ni shindano la utangulizi kabla la shindano kati ya la Joshua na Ruiz ambalo linafanyika leo hii. Bondia wa Tanzania alipigwa ngumi nzito ambayo ilimfanya apoteze fahamu na kuletewa mitungi ya hewa ya oxygen.

Baada ya kupata nguvu na kusimama refa aliamua kumaliza mchezo huo na kumpa ushindi bondia kutoka marekani. Mchezo unaofatia ni wa Joshua na Ruiz. Pia katika mshindano haya ya leo kuna bondia wa Tanzania mwingine kwa jina anaitwa Mohamed Swedi nae alipigwa kwa knock out bila msaada wa refa tungesikia mengine.

Daaaaah
 
Ugomvi wao ulianzia wapi hadi wakapigana namna hiyo?
Hahhah!
FB_IMG_1575661973160.jpeg
 
Yule sijui wamemuokota Buza kwa mparange!!? yaani jitu halina record ya maana mnalipeleka kwenye ubingwa wa dunia pambano la utangulizi na yule mmexico undefeated kweli!! eti Bondia anaitwa Selemani Saidi ! eboh! mngepokea sanduku airport! Shubamiti!! yaani round ya kwanza dk 1.35 mtu chaliii, na walahi angenyanyuka tu angekufa.
wangepokea nini mkuu? ,
 
Tunashukuru awamu ya tano kwa kuwahisha mitungi ya oxygen pale ukumbini, la sivyo seleman na minywele yake kifuani kama cactus angeaga dunia
 
Back
Top Bottom