Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,649
Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?