Aibu hii ya waandishi wetu tumlaumu nani?

Nani alaumiwe kwa hili? Ndiyo maana marehemu Mkapa aliwatukana waandishi wa Tz
 
Uandishi wa habari kwa hapa Tanzania sio lazima uwe na shule ya kutosha.

Yeyote anaweza fanya.
Waandishi wa habari wa Tz wengi ni janjajanja tu lakini hakuna kitu, hawana weledi kabisa, NI KAMA WALIVYO WANASHERIA WETU
 
Back
Top Bottom