Aibu hii wanaume

Aibu hii wanaume

Kuna sehemu nilikuwepo nilikuwa nawasikia wakina dada na kina mama wengi wanadai wanaume wengi hawaridhishi kitandani mkishapiga bao lenu moja mnalegea vibaya.

Kitu kingine wanacholalamika wanawake ni kwamba wanaume wengi mna haraka sana.

ww ni me au ke?
 
tatizo sio bao unaweza ukapiga hata bao tano,ukashangaa mwenzio hana habar yeye katenga tu,kwa utafiti ni kwamba hawa wenzi wetu baadhi inaonesha walikuwa wagawaji tu hadi kufikia papuchi kupata sugu ndio maana hawaridhiki hata wagongwaje
 
Acheni majungu nyie, kila mtu ana uwezo wake katika hili tendo hivyo huwezi kumlazimisha kupiga bao 4 au zaidi lile tendo siyo adhabu ni furaha ikigeuka kuwa adhabu mimi naona is unfair kama na wewe mdada hulidhiki basi olewa na wa kiwango chako ili isiwe taabu. mimi najua kuna wadada wanataka moja tu ikizidi sana mawili lakini wapo wanaotaka manne na kuendelea wapo wengine mawili tu anapepea na feni sasa nyie mnao lalamikiwa washaurini wafanye uchunguzi wa kina before married sio anakimbilia sifa ya kuitwa mke wa mtu kumbe kuna mambo hayako sawa upande wa pili!
Binafsi tendo lile kwangu sio adhabu nafanya kadri mwili unavyo hitaji na mwenzangu anapaswa kuwa huru kwangu sio kuleta majungu kwa wavimba macho!

kweli mtu mzima hapo umeongeaa..
 
Ishu sio bao 4,ishu hizo nne ndan ya muda gani?Anae piga moja kwa dk 40 na anaepiga bao 4 kwa nusu saa yupi anatisha?Nafikir ishu sio idadi bali ni ujuzi na ufundi!
 
kaka ni mmojawapo nn naoana mada hii imekugusa sana kama ni hivyo pole sana ila ndio baadhi ya mambo niliyoyasikia ndio maana naomba michango yenu wadau,kama na wewe wa moja pole sana.
 
Hao wanawake wa wapi wanaoshindwa kuzungumza na wenza wao ili waridhishwe badala yake wanaenda kulalamika nje..???

Kama huridhishwi tafuta namna njema ya kuongea na mumeo....!!

You are wise, just wishing ingekuwa na mwanamke mwenye wisdom kama yako
 
najitolea mimi mleta mada aje

KAMA AJA R.I.P
4????? atatoa povu kama bia iliyo expire

kweli mnakutana na majanga ndio maana mnaleta thread za malalamiko kila siku. unashangaa bao nne!!! tena hapo najihisi nimezeeka ingekuwa miaka sita/saba ago ungekimbia kitanda!
 
Watu wanafikiri bao nyingi ndio sifa, ufundi na stamina ndo kila kitu, piga zako hizo nne lakini kila moja humalizi hata dk kumi, mi napiga mbili za afya kila moja 30mnts, tuone!
 
ishu sio bao 4,ishu hizo nne ndan ya muda gani?anae piga moja kwa dk 40 na anaepiga bao 4 kwa nusu saa yupi anatisha?nafikir ishu sio idadi bali ni ujuzi na ufundi!

thats it! Unapiga nne halafu mtu wako unamuacha na minyege yake ukitoka hapo unajisifu! Piga moko au bee lakini takatifu
 
Hao nadhani ni wale waliokubuhu na kuota sugu, hata ukipiga bao kumi bado utaishia kusagwa skulubu zako bila kumridhisha mtu yeyote. Tena hao ni wale wanaogegedana bila hata romance.
 
nahisi ww ndo humridhishi wako coz jinsi ulivyogeneralize ni wanaume wote! Sasa wao kama wanaume hawawaridhishi wamefahamu vp hawardhishwi? Kama kuna baadhi wanawaridhisha its simple to compare otherwise sema aibu ya baadhi ya wanaume na c wanaume wote

huyu mw.ehu sana huko alikokaa na "hao wenzie" kujadili hili,wahusika walitajwa kwa majina yao,lakin hapa anageneralize....HANA ADABU!
 
najitolea mimi mleta mada aje

KAMA AJA R.I.P
4????? atatoa povu kama bia iliyo expire

Hahaaah stakiii kuamini haya maneno umeandika we nditoo lol kumbe was mtundu...ashes nalee
 
Back
Top Bottom