Tatizo la hii nchi ni sheria zilizopo hazilazimishi watu kuwa wasafi.angalia baadhi ya nchi za wenzetu huwezi ona mtu anachafua na asikamatwe.watanzania walazimishwe kuwa wasaf kwa kutunga sheria kali zitakazomfos mtu kuwa msafi kuanzia nyumbani kwake hadi sehemu nyingine za uma.