Aibu, fedhea ya DART, Jiji, Manispa Dar

Aibu, fedhea ya DART, Jiji, Manispa Dar

Wangapi wanajua kilichotokea kumbi za DDC Dar es Salaam zilipofunguliwa kwa mara ya kwanza na Waswahili wakakuta vyoo vya kisasa vya haja kubwa na haja ndogo? Hivi mnajua hali ilikuwaje Rais Mwinyi alipoinga Ikulu kwa mara ya kwanza mwaka 1985 na kukuta vyoo vya kisasa vya kukalia? Wangapi wanakumbuka barabara za lami zilipojengwa kwa mara ya kwanza Uswahilini kwenye miaka ya sitini, hali ilikuwaje? Kuna wakati Watanzania wachache walitamani mji mkuu wa nchi hii heri ungehamishwa, je mnajua sababu hasa?
 
Aliyeongea Trump ni ukweli mtupu
Donald Trump alipoongea Waafrika hatukumuelewa sasa taratiibu tutaelewa kuhusu ulinzi kuna kampuni ya China security kila kituo kuna bango sasa sijui wajibu wao pale Kimara baruti ni kama kimesuswa baada ya princes muro kukigonga.
 
Watazoea Tu Ata uwanja wa Taifa ilikua hivyo hivyo mwanzoni. Dah mbunge Ana div 4 point 33 ! Only in Tanzania where wonders can't cease.
. KAKA NAOMBA NIFAFANULIE HIZO NAMBA NA MBUGE GANI AWAJIBISHWE MDA WA SIASA UMEISHA,NISAIDIE MM.
 
Akili ndicho chanzo cha yote haya. Asilimia kubwa ya watanzania akili ndogo. Yaani mtu anaambiwa ashuke kwenye gari baada ya kufika kituo cha mwisho wa safari ya gari (Kamata) anang'ang'ania kubaki na wale ambao wanayasubiria ili waanze safari nao wanakimbia kwenda kupanda!!!

Abiria wanaambiwa huu ni upande wa kushusha abiria na upande wa kupakilia abiria ni upande wa pili wanasema hii ni kero kwani kupanda si kupanda tu!!!

Aibu sana. Yaani kwa study niliyoifanya kwa ku-observe tabia za wasafiri hasa wanaotumia route ya Kimara-Kariakoo/Kamata naiona taswira ya mazoea ya kusafiri na gari za Mbagala na ile ya kuingilia madirishani.

Ushauri wangu kwa UDART ni kuwa wawe na mpango mkakati wa kushughulika na abiria wenye tabia ovu kwenye vituo na kwenye magari.
 
Ipo hivi katika mjadala wa bunge kurushwa live Kuna mbunge moja wa CCM alipinga suala Hilo hadi kufikia hatua ya kulia bungeni akilaani wabunge wa upinzani kwamba waache upuuzi. Huyo mbunge anaitwa AGNES MARWA matokeo yake ya kitaaluma Na uzoefu kazini Na MAAJABU MENGINE KATIKA ELIMU YAKE YAMEANIKWA HAPA JF TANGIA ASUBUHI KWA SAA ZA HAPA NILIPO. NI HAYO TU KAMANDA.

Kuna watu ndani CCM elimu zao questionable mf from these constituencies isimila, mtama,korogwe,rorya,etc.
. KAKA NAOMBA NIFAFANULIE HIZO NAMBA NA MBUGE GANI AWAJIBISHWE MDA WA SIASA UMEISHA,NISAIDIE MM.
 
Bongo tuna safari ndefu sana.. labda wakoloni warudi tena.

Wewe unampenda TRUMP wa Marekani...ila una point kuwa tuna safari ndefu, hilo la wakoloni kurudi mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh
 
Nchi ya hovyo sana hii, watu wa hovyo sana. Wasomi wasioelimika.
 
Dart wameshindwa kusimamia service TRoads. Nyingi zimejaa tope na mchanga. Bodaboda na Bajaj wanapita bila mpango na kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu. Wameshindwa kupanda miti pembeni. Wanakaa tuu ofisini hawatoki kuweka barabara zao kwenye standard ya Strabag. Huu mradi umekuwa wa Kiswahili Swahili.
 
Wakati mwingine uwa nashindwa kuwaelewa watanzania wengine wanajisadia Garden daah!!
Umemsikia Mheshimiwa mbunge mtoto wa marehemu Kombani (aliyerithi kiti chake) anapendekeza ile Sanamu ya Kumbukumbu ya Askari mashujaa wetu pale mtaa wa Samora ing'olewe na badala yake iwekwe sanamu ya mbogofleva, Bw Diamond kwa sababu Diamond amelifikisha taifa hili mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaali! Hapo bado hujaelewa kwa nini watanzania tunajisaidia Garden?🙁
 
Nyamazeni, chukueni mifagio, madekio na maji mkafanye usafi huko vituoni, msiongee bila vitendo.
 
Hata Ulaya pamoja na utajiri wao sijawahi ona vyoo kwenye vituo vya town bus. Labda kituo cha treni. Akili ya uhajibikaji Tzn hakunaga. Sisi ni wachafu kwa tabia. Halali kabisa kipindupindu kitumalize. Bila hata aibu watu wengine wadai sababu ya uchafu wao hata majumbani kwao ni chama cha siasa. Tuna laana ya kizazi.
 
Hata Ulaya pamoja na utajiri wao sijawahi ona vyoo kwenye vituo vya town bus. Labda kituo cha treni. Akili ya uhajibikaji Tzn hakunaga. Sisi ni wachafu kwa tabia. Halali kabisa kipindupindu kitumalize. Bila hata aibu watu wengine wadai sababu ya uchafu wao hata majumbani kwao ni chama cha siasa. Tuna laana ya kizazi.

Kumradhi ulaya ya Mashariki au ya magharibi unayoiongelea weye....
 
Dart wameshindwa kusimamia service TRoads. Nyingi zimejaa tope na mchanga. Bodaboda na Bajaj wanapita bila mpango na kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu. Wameshindwa kupanda miti pembeni. Wanakaa tuu ofisini hawatoki kuweka barabara zao kwenye standard ya Strabag. Huu mradi umekuwa wa Kiswahili Swahili.
Kwa ku-operate wiki moja tuna-judge kuwa wameshundwa? Ni mapema mno. Yapo yaliyo ndani ya uwezo wao na mengine ni ya kisheria. Wapewe nafasi kwani changamoto ndicho chanzo cha mabadiliko
 
Katika miji ambayo wananchi wake wanaweza kuongeza mapato ya nchi kwa tozo ya uchafu ni dar......

Ingawa bado ni mapema sana kutoa hitimisho hivyo,acha muda ulihukumu hili
 
Watazoea Tu Ata uwanja wa Taifa ilikua hivyo hivyo mwanzoni. Dah mbunge Ana div 4 point 33 ! Only in Tanzania where wonders can't cease.
Mkuu afadhali na huyo kuna wabunge wana DIV ZEROOOOO kwa mfano Mbowe KUBENEA SUGU.
 
Hivi vituo vya kawaida havina vyoo pia mbona hawashushi mizigo yao hapo

Sisi watanzania/Afrika ni bure kabisa kwenye mambo mengi usafi moja wapo.

Bila kubadilika hatutafika popote.
Ni kwel mzungu ndo kaleta utaratibu wa choo alafu ata stendi za zamani zote azikua na choo cha kulipia ni vile vikubwa tu ndo vilikua na choo ata mwanao amekua kwenye mazingira ya ivo kukojoa ovyo kufanya usafi mpk kuwe na mfanyakazi awezi jisimamia mwenyewe kwenye usafi so atakua ivo ata asipokuta maji choon ata kunya na kusepa bila ata kujitawaza ata kwa kwa kipande cha karatasi
 
Chama kinaongozwa na form six failure na mgombea wa uraisi ana pass ya pfa. Wafuasi vilaza. Upizani tanzania vichekesho ndio maana wanaongea kama wanakemea mapepo
Vile vile chama kinapokeea misaada kutoka kwaq mashoga hivyo hata viongozi wake wanaweza kuwa mashoga.
 
Back
Top Bottom