Magufuli ameonyesha kwamba maigizo yana mwisho haya wamelazima mradi kuanza bila kujiandaa huku wakijuwa watu wao wakoje haya sasa utasikia Fulani katumbuliwa jipu badala ya kumtumbua makonda anayetaja bei huku akiachia kipindupindu kikianzishwa
Mradi wa UDART umedhihirisha tabia halisi ya mtanzania (mwafrika). Tukitukanwa tunalalamika, hatuna akili.
Wakulaumiwa ni watu wanaokijoa na kunya hovyo kabla ya watu wengine. Watu wanalalamikia vituo havina vyoo, zamani kuna kituo gani cha daladala kilikuwa na choo? Unatokaje nyumbani kwenda kituoni na mkojo au haja kubwa kama si tabia mbaya tu? Watanzania wenyewe bado sana kwa kweli. Wanahitaji nguvu kubwa sana kuwabadilisha mawazo yao. Unye na kukojoa wewe ulalamikie wengine? Sio fair
Poleni sana Nasikia Songas wamegoma kuuza umeme kwa Tanesco, Tuvumilie tu
Back to the Topic,
Sasa kwa nyomi ile pale vituoni na vyoo vimefungwa unajisaidiaje nje? Inahitaji ujasiri wa aina yake.
Ina maana kuna watu wanaacha vyoo nyumbani alafu wanaenda kujisaidia katika stendi za mabasi ya kasi?mh.....
Ndo maana kipaumbele cha kwanza, cha pili na cha tatu cha lowassa kilikuwa Elima Elimu Elimu.
Umejuaje kama ulali nao
"Politicians can change a woman into a man, and a man into a woman without going through any medical processes"- Atta Kwabenah (Journalist)Watazoea Tu Ata uwanja wa Taifa ilikua hivyo hivyo mwanzoni. Dah mbunge Ana div 4 point 33 ! Only in Tanzania where wonders can't cease.
Mh! Haya.hiyo ni kawaida ya watu wa deresalama wachafu sana tena ukitaka kujua wachawi chupi zao zinatoa harufu kali sana
swissme
Mahana=Maanani wavivu sana kununua chupi nilikuwa na marafiki zangu kutoka pwani ilibidi niingie gharama ya kuwachukulia chupi 3 tatu 3 tatu mahana ilikuwa shida.
swissme
Huyo mbunge kwani kaenda kusoma taaluma humo !? Sugu yeye ana ya point ngapi !? .....Mwenyekiti alizungusha form six na anaendesha saccos ya kaskazini !Watazoea Tu Ata uwanja wa Taifa ilikua hivyo hivyo mwanzoni. Dah mbunge Ana div 4 point 33 ! Only in Tanzania where wonders can't cease.
hahaha mkuu hapo unautani na mgombea flani hv alijisaidia hadharani.Tatizo ni hao abiria
Haiwezekani mtu na akili zake akajisaidia sehemu ambayo hakuna choo na anajua kabisa hakuna choo