Samsindima
Member
- Jan 18, 2012
- 37
- 0
Mwanasheria mzima tena wa kampuni yenye jina unakuwa na tabia za kishenzi hasa ukilewa. Unatukana na kuzusha ugomvi kila uendapo. Matukio haya ya ovyo ovyo hayaendani na maadili ya wanasheria na hasa kuharibia sifa jina la IMMA. Umefanya vurugu na kuvunja meza na viti Rose Garden, umeleta tafrani Movenpick na kumfanyia fujo Mhe. Freeman Mbowe hadi akalazimika kukukong'ota. Unatia aibu.