Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Aisee kuna watu wana roho mbaya sana
 
Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Huo mchezo upo sana .

Kipindi fulani kuna jamaa anatokea huko Kilimanjaro alikuja na ndugu yake ila sio wa damu ,na ishi ilikuwa aje kuuza duka maana jamaa alikuwa na biashara kibao na nyingi ni chafu na alikuwa akifanya mpaka kenya haswa mirungi.

Alifungua kiduka cha mgosi kidogo akamuweka msela kwa makubaliano ya miaka 5 anamuachia duka kama wanavyofanya wagosi maana jamaa wote ni wapare ...yule jamaa alikuwa mcheshi sana ilisababisha lile duka kujaa sana na tulikuwa tunaweka maskani hapo mpaka sita usiku na jmaa 11 asubuhi tukienda msikitini anafungua maana palikuwa na wateja pale kitaa haswa wauza samaki na waoenda sokoni pamoja na mnadani.


Yule bosa wake miaka 3 alifanikiwa kujenga duka jipya ila ilipofika mitano akazingua kumuachia duka msela ila sababu ilikuwa mke wa jamaa ni wale wenye tamaa ya pesa hataki msela kupewa duka ,baadae jamaa alipewa kesi ya kutembea na dogo fulani pale kitaa ila ndugu zake walikuwa wanakaa town wakamtoa na walikuja kugundua kesi ni batili ni yule mke wa boss wa msela ndo kazusha.

Jamaa akaona wananiletea ufala sijui kuna pesa pale duka haswa za miamala akasepa nazo na kurudi kwao ,akahamia Arusha na kufungua biashara zake ..Msela boss hakumaindi na alicheka hiyo siku kwa vile alikuwa yupo tayari sema mkewe ndio alikuwa hataki.
 
Back
Top Bottom