AI haina umuhimu wowote hapa Tanzania

AI haina umuhimu wowote hapa Tanzania

Majibu ya akili Mnemba

Akili bandia, au AI, ulianza kutumika katika miaka ya 1950. Mwanahisabati na mtafiti Alan Turing alikuwa mmoja wa waanzilishi wa AI na alikua na dhana maarufu inayojulikana kama "mtihani wa Turing" ambayo ilihusu uwezo wa mashine kuiga tabia ya binadamu. Tangu wakati huo, maendeleo mengi yamefanyika na AI imekuwa sehemu muhimu ya teknolojia katika maeneo mengi kama vile kompyuta, lugha ya asili, roboti, magari ya kujiendesha, na zaidi.
Sahihi
 
Naomba ninukuu alivosema mheshimiwa Gwajima et AI haiepukiki inachochea ukuaje wa uchumi, ivi ni kweli ??

Kwa upande wangu hii sio kweli Tanzania kiteknolojia bado sana , nchi masikini utaileteaje AI kutatua changamoto za uzalishaji ilhali wakunamitambo au resources za uhakika na zenye uwezo wa kuzalisha pakubwa.
Wananchi masikini watoa kodi wanatoa wapi hizo pesa za kulipia subscription za AI??

maendeleo au ukuaji wa uchumi wa nchi unapimwa katika mfumo wa GDP na sio watu wa VIP tu.

Nimechoka kutype ngoja tu nilale bn.
Ina umuhimu sana. Yani mfano kwangu chatgpt imekuwa part and parcel ya maisha yangu ya kila siku katika kazi. Inanisaidia kujibu emails, kupolish maandiko yangu, kunifafanulia vitu ambavyo ninakuwa na mashaka kama nimevielewa vizuri, inanisaidia katika kusoma na mambo mengine mengi.
 
Majibu ya akili Mnemba

Akili bandia, au AI, ulianza kutumika katika miaka ya 1950. Mwanahisabati na mtafiti Alan Turing alikuwa mmoja wa waanzilishi wa AI na alikua na dhana maarufu inayojulikana kama "mtihani wa Turing" ambayo ilihusu uwezo wa mashine kuiga tabia ya binadamu. Tangu wakati huo, maendeleo mengi yamefanyika na AI imekuwa sehemu muhimu ya teknolojia katika maeneo mengi kama vile kompyuta, lugha ya asili, roboti, magari ya kujiendesha, na zaidi.

NAKAZIA
 
Back
Top Bottom