Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,766
- 14,785
SIJUI KAMA KUNA WATOTO HAPA JF WANAMFHAMU BONZIBUDDY MIAKA 1999-2004Tatizo la watu wengi wanadhani AI ni kitu kipya, kumbe ni kitu kimeanza miaka ya 1950s huko na wenzetu wamekua wakikiboresha taratibu. AI ipo karibu katika kila kifaa cha kielektroniki.