only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Na watu hawajui, JF sio mahala pa kuleta makala ndefu utadhani hotuba ya bajeti ya serikali..hapa ni sehemu ya kuleta hoja iliyochambuliwa na kufupishwa ili ipatiwe nyama na wachangiaji. Sasa huyu kilaza kaleta kurasa saba za gazeti la uhuru hapa.