Hoja kubwa ya msingi niliyoisikia toka kwa Marando na Prof. Safari ni HAKI YA MTANZANIA KUPATIWA DHAMANA. Hakuna lingine. hawakuunga mkono uhuni, uharifu nk kama mtoa mada anavyojaribu kurembesha ! Kabla ya hukumu mtu yeyote nana hatia mbele ya sheria, mpaka inapothibitika, tena beyond reasonable doubt that some one is guilt ! Ningekuwa mimi ndiyo "Security guard" ningejitahidi sana kufupisha maneno na kubaki kwenye hoja ya msingi.