La Generale
Senior Member
- Sep 2, 2012
- 135
- 14
jamaa kaingia kichwa kichwa kama nini vile!hawa ndo walele wasiojua hata kufupisha habari zao. Wadau hebu msaidien huyo gamba afupishe habari yake halafu aandike some senses and not nonsense!
Mkuu hata mimi. mtoa mada ana maana kuwa chadema hakina mchango wowote katika maendeleo na siasa za taifa hili hata kama ina mapungufu? Ukweli pia unampa mtu heshima!Nimejaribu kusoma nimeishia njia ni nitarudi nikipata muda.
Nimejaribu kusoma nimeishia njia ni nitarudi nikipata muda.
Unaleta upuuzi mwingi kwenye masuala yanayohusu imani za watu,ni kweli serikali haina uwezo wa kutosha kugharamia uendeshaji wa mahakama ya kadhi,sasa inapata wapi uwezo wa kushirikiana na wakristo kuendesha hospitali na shule hata kama waislamu hawana shule na hospitali,sasa unadhani waislamu watasema kuna usawa?
Nimejaribu kusoma nimeishia njia ni nitarudi nikipata muda.
naomba msamaria asome atoe summary mm nimeshindwa!
du kazi kweli kweli...hapa napita tu
Loading.....