Ahsanteni sana Marando, Prof. Safari kwa kutuonyesha undani wa Chadema

Mwandishi wa makala hii ni Katibu Msaidizi, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM. Anapatikana kwa Simu Na. 0659 220 220 na 0762 633 244Na Charels Charles

Yani huyu pamoja na kuwa wakimataifa haoni tatizo la RAISI kuteua MUFTI.

Mh! kama katibu msaidizi ni wa hivi ndio maana chama kiko hivyo kilivyo.Maana
akili yake inamtuma nani ana muda wa kupoteza kusoma mimaandishi yote hiyo!
 
hacha ujinga,kutufanya watu hatuelewi mambo,nenda kawadanganye nyinyiemu wenzako. nyie wachovu kwanza ata naibu waziri wenu wa elimu anathibitisha kuwa nyie hamna kitu na hamna jipya,hajui ata muungano ni wa nchi ngapi. tokaaaaaaaa
 
Inachosha kusoma, hata kama kuna point za maana zinafuata huko chini zaidi si rahisi kuzifikia.
Kwa watanzania wengi ukitaka kumnyima habari wewe andika mlolongo mrefu kama huo, ni wachache watakaokupata.
 
Huyu Security guard ni njaa kali na mwenye utapiamlo wa akili na mawazo. ameishia kutapika maneno na kuzungumzia watu na siyo mada. Watu wa namna hii wanapata kichefuchefu jinsi CDM inapopanda chati na kukubalika. Wakiona hawawezi kasi hii watafute pa kwenda. Ameleta mada hii ili apatiwe pesa ya kujikimu leo na kesho ataamka na maji taka mengine. Njaa mbaya sana hata akili zinahama.
 
Huyo mwandishi wa makala hii ni mtu mwenye fikra finyu sana.

Ni kiongozi wa chama cha siasa kinachotawala.Kama huyu anaweza kuwa kiongozi ndani ya chama tawala unategemea nini katika serikali hiyo?
-Huyu hana staha zaidi ya matusi tu.Nina ushahidi wa message zake ambazo haziandikiki hapa
 
security guard Pole na kazi! umefanya kazi yako ya kujaribu kunusuru Chama cha wauaji na wezi!! Pole tena kwa sababu umejitoa jasho na mapovu bila sababu yoyote!! Umetudhihirishia vile vile kuwa Chama cha wauaji wa Mabwepande unachokipigia upatu kina kazi ya UFITINI wa kihuni. Unapomtoa Zito unatimiza azma yako ya kishetani ya kuwagawa CDM umechelewa sana ndugu pole. Ulitaka wanasheria kama wale mnaoamrisha watoe hukumu za kuwapendelea daima. Chama cha Majambazi kiko njiani kwenda kuzimu na kitakwenda kitaishia!! dalili zote zipo!! wazi!!
Wakati mwingine miye nadhani watu kama wewe mnahitaji Daktari wa Akili ili awadhibitishe kama mnahitajika uraiani!
Musoma kiongozi wa chama chako cha majambazi amewaahidi na kuwapa ushauri vijana wa chama cha wezi wavute BANGI! Au nawe umeonja kidogo!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeishia paragraph ya kwanza nahisi huko mbele mwandishi atanitapisha kwa utumbo huu
 
Inaonekana hata shule hajaenda, maana hapa sio mahala pa hotuba. Ni mataifa gani mengine ambapo CCM inafanya wizi?, nitajie taifa moja tu ambako bendera ya CCM inapaa. hapo ntakuamini kweli wewe ni wa kimataifa, ki-vitongoji tu wananchi wanawakimbia, seuze katika anga za kimataifa!
 
Ni kweli Marando na Prof.Safari waliyasema hayo? Tusiishie kumtukana na kumkejeli kwa ushabiki, mimi nafikiri tutizame na upande mwingine, JE NI KWELI?
 
Mleta mada elewe wengine wanatumia simu za mchina, unasababisha charge inakwisha haraka kwa maandishi yako lisha ya kuwa mengi bali ni pumba + chang'aaa - ulanzi * pingu =
 
Labda unajifunza kutoa makala lakini bado sana! Kichwa cha habari na na main article haviendani kabisa! Unajichanganya sana in such inapoteza mwelekeo kutoka mwanzo. Inaarudiarudia katika mada yako mpaka imekuwa ndefu bila sababu. Kabla ya kuitoa humu ungemtafuta mtaalamu aiedit na akupe mawazo ya kuipangilia.
Ujumbe unaonekana umejaa chuki kuanzia paragraph ya kwanza ambayo uliifanya kama introduction.
Kitu ulichofanya ni kama propaganda, ambayo ndani ya CCM kuna wasemaji wake au wataalamu. Unajua kwa kufanya hivi umekifanya chama kionekane ni cha hovyo, hakina wataalamu wa kutoa makala za kukielezea chama. Unaonekana ni kilaza au chama kimekuajiri kwa njia za panya au kujuana!
Sijui kama Januari ameisoma makala yako! Hivi tunaaibisha chama! Watu wengi humu jf wamesoma na wanajua kutafsiri mambo. Elewa pia Prof. Safari na bwana Marando ni wanasiasa waelevu usichambue maelezo yao juu juu. Walichofanya ni kutoa maoni yao dhidi ya serikali kwa niaba ya Chadema.
NA WAMEFANIKIWA KUBADILI MUONEKANO WA CHAMA CHAO DHIDI YA SERIKALI HASA KWENYE MAMBO MUHIMU YANAYOTOKEA KWENYE JAMII.
 
Back
Top Bottom