Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Haya maandamano yaliyofanyika, utulivu ulionekana na mashirikiano chanya yaliyowekwa na Jeshi la Polisi ni wazi kwa miaka mingi wanasiasa wa CCM wamekuwa wakitumia jeshi la Polisi vibaya kudhibiti mawazo na fikra mpya.
Maandamano haya yamefanyika kwa ustaarabu mkubwa yakihusisha familia za viongozi wa upinzani jambo ambalo hakuna siku watoto wa watawala wamewahi kushirikiana na wananchi kudai haki.
Maandamano hayo yamefanikiwa kuonyesha viongozi wa dini akiwepo Mwaipopo kwamba shetani amekalia kiti cha dini nchini na amechukua nafasi kubwa miyoyoni mwa wale tuliowahita viongozi wa dini
Wapo wapi waliojiita viongozi wa upinzani wanaiita na vyombo vya habari kukemea maandamano?
Yupo wapo Malasusa aliyetamka mbele ya madhabau kwamba hajawahi kuipinga serikali iliyopo?
Niwapongeze Chadema na nishauri sasa nchi ielekee kwenye midahalo ya kisiasa kama iliyofanyika wakati wa katiba mpya watoto watambue wazi kwamba wana haki ya kulinda nchi yao.
Kama Mwalimu Nyerere angetii MAMLAKA za kikoloni leo tusingekuwa na uhuru tulionao. Lazima watoto na vijana waanze sasa kupigania nchi yao ili wanasiasa wawe accountable kwao.
Vijana hawana ajira na wanaamini umri wao upo hapo hapo, ujana ukipita umepita lazima raslimali za nchi ziwanufaishe wananchi siyo wageni
Maandamano haya yamefanyika kwa ustaarabu mkubwa yakihusisha familia za viongozi wa upinzani jambo ambalo hakuna siku watoto wa watawala wamewahi kushirikiana na wananchi kudai haki.
Maandamano hayo yamefanikiwa kuonyesha viongozi wa dini akiwepo Mwaipopo kwamba shetani amekalia kiti cha dini nchini na amechukua nafasi kubwa miyoyoni mwa wale tuliowahita viongozi wa dini
Wapo wapi waliojiita viongozi wa upinzani wanaiita na vyombo vya habari kukemea maandamano?
Yupo wapo Malasusa aliyetamka mbele ya madhabau kwamba hajawahi kuipinga serikali iliyopo?
Niwapongeze Chadema na nishauri sasa nchi ielekee kwenye midahalo ya kisiasa kama iliyofanyika wakati wa katiba mpya watoto watambue wazi kwamba wana haki ya kulinda nchi yao.
Kama Mwalimu Nyerere angetii MAMLAKA za kikoloni leo tusingekuwa na uhuru tulionao. Lazima watoto na vijana waanze sasa kupigania nchi yao ili wanasiasa wawe accountable kwao.
Vijana hawana ajira na wanaamini umri wao upo hapo hapo, ujana ukipita umepita lazima raslimali za nchi ziwanufaishe wananchi siyo wageni