Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,844
- 13,106
Niliajiriwa 2013 tokea hapo sijawahi panda daraja.
Mwendazake alinyonya sana haki yetu.
Tena zile haki za kisheria kama increments ila mama ameponya majeraha ya msukuma.
Watumishi kwenye BAJETI 2021/22.
1. PAYE imeshushwa kutoka 9% mpaka 8%.
2. Bil 449 kwa ajili ya kupandisha vyeo watumishi 92,619.
3. Kutolewa kwa 6% ya tozo ya kulinda thamani ya mkopo wa elimu ya juu (Value Retention Fees).
4. Madiwani, Maafisa Tarafa na Watendaji kata kulipwa 100,000 kila mwezi kama posho.
5. Michango ya PSSF kulipwa direct kutoka Hazina badala ya ofisi za serikali kupeleka zenyewe.
TUMEKUELEWA mama, tunasubiri nyongeza ya mwakani.
Ijumaa nilipata barua yangu ya daraja safiii na sasa nasubiri NMB kitu kipya kiteme.
Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.
#ASANTE MAMA.
Cha ajabu kupandishwa huku madaraja mpaka MATAGA wamefurahia.
Yaani MATAGA walewale waliokuwa wana "support" mwendazake asiongeze kitu, ndio haohao wanaokenua mama alivyoongeza..!!!
#YNWA
Mwendazake alinyonya sana haki yetu.
Tena zile haki za kisheria kama increments ila mama ameponya majeraha ya msukuma.
Watumishi kwenye BAJETI 2021/22.
1. PAYE imeshushwa kutoka 9% mpaka 8%.
2. Bil 449 kwa ajili ya kupandisha vyeo watumishi 92,619.
3. Kutolewa kwa 6% ya tozo ya kulinda thamani ya mkopo wa elimu ya juu (Value Retention Fees).
4. Madiwani, Maafisa Tarafa na Watendaji kata kulipwa 100,000 kila mwezi kama posho.
5. Michango ya PSSF kulipwa direct kutoka Hazina badala ya ofisi za serikali kupeleka zenyewe.
TUMEKUELEWA mama, tunasubiri nyongeza ya mwakani.
Ijumaa nilipata barua yangu ya daraja safiii na sasa nasubiri NMB kitu kipya kiteme.
Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.
#ASANTE MAMA.
Cha ajabu kupandishwa huku madaraja mpaka MATAGA wamefurahia.
Yaani MATAGA walewale waliokuwa wana "support" mwendazake asiongeze kitu, ndio haohao wanaokenua mama alivyoongeza..!!!
#YNWA