Jombaaaa kwani hizo machine Kuna mtaalam yoyote nchini anaweza kuzi calibrate...ni mpya kwetu kwa hiyo serikal ikiamua kuzichukua inawaamini watengenezaji kwamba zipo OK. ..Sasa Shaka inapokuja si lazima uzifanyie majaribio ya kimaabara kitu ambacho ni Sawa. ..matokeo yake ndio Yale. ..hatuwez ilaumu serikali hapoKwenye hizo mashine za kupima huwa mpaka sasa najiuliza maswali na sipati majibu: 1) serikali inaagiza mashine, 2) halafu serikali inapima mapapai...oil ili kuonyesha hazifai...Lengo lilikuwa kuonyesha kampuni iliyotuuzia (kama tulinunua) au nchi hizo mashine zilipotoka au wataalamu wetu (yaani serikali yenyewe) kwamba imenunua au imepokea mashine ambazo zina walakini?