#COVID19 Ahsante ndugu Humphrey Polepole kwa msimamo wako kuhusu CORONA

Kwenye hizo mashine za kupima huwa mpaka sasa najiuliza maswali na sipati majibu: 1) serikali inaagiza mashine, 2) halafu serikali inapima mapapai...oil ili kuonyesha hazifai...Lengo lilikuwa kuonyesha kampuni iliyotuuzia (kama tulinunua) au nchi hizo mashine zilipotoka au wataalamu wetu (yaani serikali yenyewe) kwamba imenunua au imepokea mashine ambazo zina walakini?
Jombaaaa kwani hizo machine Kuna mtaalam yoyote nchini anaweza kuzi calibrate...ni mpya kwetu kwa hiyo serikal ikiamua kuzichukua inawaamini watengenezaji kwamba zipo OK. ..Sasa Shaka inapokuja si lazima uzifanyie majaribio ya kimaabara kitu ambacho ni Sawa. ..matokeo yake ndio Yale. ..hatuwez ilaumu serikali hapo
 
Kipindi cha JPM pole pole alikuwa anakula maisha huyuu jamaa. Saivi amekuwa yatima wakisiasa.

Wabunge walikuwa wanamtetemekea balaa.
 
Mfa Maji haishi kutapatapa...
Kifo cha Nyani, miti yoye hutereza...
..........................................
Sizitaki, mbivu hizi...

Mwendazake era....
Yaliyopita si ndwele ... Tugange yajayo
Anichomile Mwakachanjo...............
 
Polepole based on this amefanya maamuzi sahihi!

IMG-20210804-WA0000.jpg
 
Kwenye hizo mashine za kupima huwa mpaka sasa najiuliza maswali na sipati majibu: 1) serikali inaagiza mashine, 2) halafu serikali inapima mapapai...oil ili kuonyesha hazifai...Lengo lilikuwa kuonyesha kampuni iliyotuuzia (kama tulinunua) au nchi hizo mashine zilipotoka au wataalamu wetu (yaani serikali yenyewe) kwamba imenunua au imepokea mashine ambazo zina wa
Je unaamini stori hii ya kupima mapapai? Nina wasiwasi kama mzee alitafuta maelezo fulani tu baada ya kuamua kuzima majadiliano kuhusu Covid.
Hata kama wamepima kweli - ingetosha kwamba mtu aliyeshika mapapai alikuwa na mikono michafu penye virusi....
Wakati ule hapakuwa na mtu aliyeweza kuuliza maswali na kufanya uchunguzi.
 
Bwana unacholeta ni feki!!! Hakika hakuna aliyetumia lugha ya "Covid 19" kwenye mwaka 1989!! Hao watu wanaopenda nadharia za njama (conspirational theories) wanatumia kila nafasi kuleta fujo...
Kweli usichokijua ni usiku wa giza.Hata siku moja usidhani kwamba yanatokea sasa yamepangwa sasa,kinachobadilika ni some details tu,ila ni mipango ya millenia.No wonder mnaingizwa mkenge kiulani.
 
Back
Top Bottom