Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,892
- 8,980
Huyu hakuna kitu..mtoto mdogo hataweza kuhudumia Simba na ana wake wawili.
Yupo Uturuki kapelekwa na mabwana zake.Manara huko Yanga amezibua pengo?
Mwijaku hahahahahahha karopoka mara moja tu chali.Mmmhh hivi wewe ungekubali huo ujinga, yani utoe Manara mropokaji ili umajiri Mwijaku?
Hiyo ingekuwa ni moja kati ya kihoja kikubwa kuwahi kutokea.
Ila kuna watu makatili sana kulimimia bunduki lile dude aisee.Manara kabla ta kuja simba alijulikana kwa udalali wa magari na kashfa ya usho...hakuwa maarufu,simba ndio ikimpa umaarufu .kijana apewe muda
Nilishaacha kujibizana na wewe muarabu mwenye utindio wa ubongoAkili za Manara hizi..Kutwa kuandika Upoyoyo tu.
Kwahivyo Dr Msolla, Nugaz, Ghalib na Kaimu CEO Senzo ambaye aliletwa na Simba SC, hapo Bonde la Jangwa wamepachika?
Tunawaambiaga kwamba nyie wengine ni mna ugonjwa wa akili yaani.
Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
SIMBA ILISHATOKA HUKO KWA SASA. INAENDELEA MBELE KUTAFUTA MTU MWENYE ELIMU MWENYE KUUFAHAMU MPIRA. MANARA ANAWAFAA YANGA. SIMBA ILIKOSEA TOKA AWALI KUWA NA MTU WA INA YAKE. SASA INAREKEBISHA MAKOSA.Duh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Hajui Bakhresa naye ni SimbaHuyo mbwiga ana hoja za kimalaya malaya sana hajui hata Ghalib ni Simba damu lakini hapo yuko kibiashara zaidi.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
WEwE utakuwaTuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Michezo sio uhuni, tunaweza kubishana kwa hoja sio matusi. Sidhani kama Manara amewahi kumtukana mtu hadharani akiwa Simba na hata akiwa Yanga. Labda maneno ya kuudhi. Hayo maneno ya kuudhi hata huyu msemaji wenu mpya, Ahmed ameiponda Sana Simba na katika kumbukumbu zake Hana kumbukumbu za kuwa shabiki wa Simba ila Yanga. Kwa hiyo nadhani tujue Wasemaji wanafanya kama kazi zingine. Wafanyakazi wa MO sio wote ni Simba na huenda Kuna wanaoenda na jezi za Yanga kiwandani, hali kadhalika wafanyakazi wa GSM wapo wengi tu ni Simba. Lakini hawahujumu kwa kwa sababu wapo kikazi. Kwa hiyo Tuheshimu kazi ya watu na sio kukashfu.WEwE utakuwa
1. Kabwili FC
2. Under 20 ambaye ndo umeanza kuufahamu mpira miaka 4 ago.
Vibe la Simba lipo miaka na miaka. Simba haimuhitaji Manara. Simba ya sasa ni ya Kisasa. Ushindi ndiyo Siri ya Mafanikio. Hayo mengine mnadanganyana sana. Mpira wa sasa unataka pesa na akili. So Yanga mkichukua Kombe amewaletea Manara?😁😁😁 Ni aibu mtu ambaye alikuwa ana wageuza geuza kwa kila maneno machafu leo mnambeba mgongoni na kumlamba..... Mtumieni Manara ni jambo jema ila ni kujilisha upepo kuwa ameacha pengo simba.
Manara hakuwa na professionalism binafsi nlikuwa nikimchukia kwa jinsi alivyokuwa anawaita Yanga mara gongowazi,mara takataka, mara manyani na maneno mengi ya kifedhuli. Alishasema ukiwa mshabiki wa Yanga lazima uwe hamnazo ukiwatoa Kikwete na Boss wa GSM. WENGINE WOTE ALISEMA NI MATAHIRA. hayo ni maneno ya kimichezo kWenu? Basi mmekulia mazingira magumu na malezi ya ajabu sanaMichezo sio uhuni, tunaweza kubishana kwa hoja sio matusi. Sidhani kama Manara amewahi kumtukana mtu hadharani akiwa Simba na hata akiwa Yanga. Labda maneno ya kuudhi. Hayo maneno ya kuudhi hata huyu msemaji wenu mpya, Ahmed ameiponda Sana Simba na katika kumbukumbu zake Hana kumbukumbu za kuwa shabiki wa Simba ila Yanga. Kwa hiyo nadhani tujue Wasemaji wanafanya kama kazi zingine. Wafanyakazi wa MO sio wote ni Simba na huenda Kuna wanaoenda na jezi za Yanga kiwandani, hali kadhalika wafanyakazi wa GSM wapo wengi tu ni Simba. Lakini hawahujumu kwa kwa sababu wapo kikazi. Kwa hiyo Tuheshimu kazi ya watu na sio kukashfu.
mumewe Hajihuyu mzee tozi ndio nani? maana nasikia kila mara jina lake
Hivi kuwaambia Yanga wote hawana akili isipokuwa JK na Sunday Manara haikuwa matusi? wewe kama shabiki wa Yanga nami nasema huna akili. Imekupendeza?Sidhani kama Manara amewahi kumtukana mtu hadharani akiwa Simba na hata akiwa Yanga.
tuweka ushabiki pembeni,kwani nini zaidi ya professionalism na kuzingatia mkataba wa ajira? Angalia kazi aliyokuwa anafanya Ezekiel Kamwaga,kuna mtu alikuwa na shida naye?Kama atafika miezi sita kwenye kiti hicho nitasema kweli anajua mazingira ya soka ya Tanzania na hasa kwa klabu za Simba na Yanga...
Basi amezibua pengo tafuteni mtu alizibeManara hawezi ziba pengo Yanga kwakuwa
mosi Yanga haina pengo hilo
Pili manara siyo shabiki wa Yanga
Wewe kwani umeona nini? 😂Utopolo bhana kweli nyie yule kocha wenu hajakosea kuwaita nyie🐒,, sasa huyu bwana ni mwana habari na hapo yupo ktk majukumu yake,, tatizo ni nini?? Au hayo maua ya kijani kwenye hilo kombe 😂🤣