kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,317
- 12,615
Utani wa aina hii hausaidii timu yako kufanya vizuri.
Huwezi kuifananisha Horoya na CR BELOUIZDAD hata kidogo. Nadhani hakutarajia kuiona CR BELOUIZDAD ikifungwa goli 4-0 na yanga kutinga robo finali siku hiyohiyo kabla ya mechi moja mkononi. Anaweweseka na kufadhaika, hakulala siku ile.
Ahmed Ally ni mwanahabari mkubwa aache kugeuka mtoto eti kwasababu ya usemaji tu wa simba. Kwakutumia weledi wake kwenye habari na michezo aisaidie simba kuwa sawa kwenye uongozi na usajili wa wachezaji na benchi la ufundi badala ya kulazimika kupayuka kwa lengo la kuwapatia wanasimba raha bandia dhidi ya Yanga.
Akubali tu kuwa Yanga kwasasa iko juu kwenye kila kitu (uongozi, ufundi, wachezaji na mabadiliko ya timu)
Huwezi kuifananisha Horoya na CR BELOUIZDAD hata kidogo. Nadhani hakutarajia kuiona CR BELOUIZDAD ikifungwa goli 4-0 na yanga kutinga robo finali siku hiyohiyo kabla ya mechi moja mkononi. Anaweweseka na kufadhaika, hakulala siku ile.
Ahmed Ally ni mwanahabari mkubwa aache kugeuka mtoto eti kwasababu ya usemaji tu wa simba. Kwakutumia weledi wake kwenye habari na michezo aisaidie simba kuwa sawa kwenye uongozi na usajili wa wachezaji na benchi la ufundi badala ya kulazimika kupayuka kwa lengo la kuwapatia wanasimba raha bandia dhidi ya Yanga.
Akubali tu kuwa Yanga kwasasa iko juu kwenye kila kitu (uongozi, ufundi, wachezaji na mabadiliko ya timu)