Hamuwezi kufanya kitu bila ya kufikiria uchawi; ndio maana hamuendelei!! Marehemu Sheikh wenu Yahaya aliwaharibu.
mji upo kimyaaaaaa, fresh sana...messi ni noma, ameutuliza mji, sifa sifa za wale jamaa zetu hamna tena...ha ha ha wapi clouds fm (kina kibonde) wapi channel ten, hata jezi za man u mtaani sizioni nyingi kuvaliwa... yani hadi bosi wao fagasoni alikuwa anatetemeka baada ya lile goli la messi
Wenger he compared him with a play station player..........he is a soccer legent...at early age of his carrier
Wenger he compared him with a play station player..........he is a soccer legent...at early age of his carrier
Hapo kwenye red nadhani ulikuwa unamaanisha "Soccer Legend"..,sio mbaya lakini bora maisha yanaendelea kwani Manutd si wakwanza kufungwa kwenye fainali na wala hawatokuwa wa mwisho.
Kwa vyovyote vile, na kubali kusahihishwa, hakika ww ni mdau wa mashetani wekunduPamoja na kwamba walikua sita, bado aliteleza
dogo pambaf sana huyu, anadhalilisha sana mabeki
Hapo kwenye red nadhani ulikuwa unamaanisha "Soccer Legend"..,sio mbaya lakini bora maisha yanaendelea kwani Manutd si wakwanza kufungwa kwenye fainali na wala hawatokuwa wa mwisho.
Ahsante sana Messi........Angalau kaunta baa tunakaa kwa utulivu
Wenger he compared him with a play station player..........he is a soccer legent...at early age of his carrier