gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
- Thread starter
- #61
Pole mama ila usijali na wala hujachelewa, nenda pale stesheni ya dar, chukua tkt ya kwenda makambako by kitu TAZARA.
Hata afike boda la Tunduma kabisa ashuke ageuke.. Ndiyo utalli wa ndani huo! Tena ya Tazara ana rails pana kuliko ya ya kati,na nakumbuka mabehewa yake yalikuwa ni bora kuliko ya reli ya kati,na njiani unapita maselous,wanyama kibao wa porini...
Raha tu..