Agizo la Magufuli laibua utata

Agizo la Magufuli laibua utata

Tatizo unachanganya na ku-generalize mambo! Hapa wanazungumziwa watu ambao tayari hawafuati hizo ethics na wapo vinginevyo hii mada isingekuwepo na hata hao ambao waliona umuhimu wa kuajiri raia wasingefanya hivyo! Na ndio maana tangu zamani nikakuambia hoja zako zimejikita katika ni namna gani mambo yalipaswa kuwa lakini sio jinsi yalivyo kwenye field!! Hizo bodi unazotaka usidhani zipo kwenye taaluma ya uhasibu peke yake... taaluma nyingi zina bodi zake na miiko yake ikielezea ni namna gani kazi zinatakiwa kufanywa lakini ukienda field unakuta mambo ni tofauti! Ugumu upo wapi hapa kuelewa?! Hata yule mchungaji na sheikh moja ya miiko yao ni kutozini... hivyo ndivyo ilipaswa kuwa lakini ukiingia kwenye real world, kinachofanyika ni kinyume chake! Hakuna aliyesema hawafuati maadili lakini hakuna, NARUDIA KWA HERUFI KUBWA, HAKUNA ANAYEACHA KUIBA ETI KWA KUOGOPA SIJUI BODI NA MAMBO KAMA HAYO; HAKUNA!
We unajichanganya, hiyo mada ya kutokufuata ethics labda ya kwako mimi nimecomment kutokana na uzi alouleta mleta mada, naona wewe ndo umebadilisha mada na kuleta za kwako
 
Usilete vichekesho! Hoja yako ipi nimeshindwa kujibu wakati nimeshakuambia hoja zako zimekaa kiuanafunzi zaidi but they don't work in a real worl!!! Na kwa hoja yako hii kumbe nilikuwa sahihi kwamba wewe ni mwanafunzi na hujui what's going on in field ndo maana unafikia kuamini mtu ataacha kuiba eti kv atafutiwa uanachama!! Hushangai ilikuwaje nikakushitukia!!!! NITAJIE HIYO HOJA AMBAYO SIJAIJIBU!!!
Kwahyo ina mana hata mhasibu raia pia ataiba, kwahyo it makes no difference aekwe mhasibu polisi ama raia
 
Mafuta na maji hujitenga daima [HASHTAG]#thanks[/HASHTAG] again Magufuli
 
Usilete vichekesho! Hoja yako ipi nimeshindwa kujibu wakati nimeshakuambia hoja zako zimekaa kiuanafunzi zaidi but they don't work in a real worl!!! Na kwa hoja yako hii kumbe nilikuwa sahihi kwamba wewe ni mwanafunzi na hujui what's going on in field ndo maana unafikia kuamini mtu ataacha kuiba eti kv atafutiwa uanachama!! Hushangai ilikuwaje nikakushitukia!!!! NITAJIE HIYO HOJA AMBAYO SIJAIJIBU!!!
I think wewe unafanya kazi kiunethical sana ndo mana unatetea mtu kufanya kazi bila kufuata taratibu, na hakuna sehemu niliposema kwamba eti watu hawaibi, the issue here was kwamba eti mhasibu akiwa polisi atashindwa kufata taratibu kisa tu sababu ya bosi wake, ndicho ambacho tulichokuwa tunaargue nacho, ndo ayakatokea hayo ya ethics, umetoa mpk mfano wa sijui mtt wa mwamunyange as if hii nchi haina sheria kwamba hata ndgu wa mwamunyange akuamrishe askar kisa ndugu yake ni bosi
 
Usilete vichekesho! Hoja yako ipi nimeshindwa kujibu wakati nimeshakuambia hoja zako zimekaa kiuanafunzi zaidi but they don't work in a real worl!!! Na kwa hoja yako hii kumbe nilikuwa sahihi kwamba wewe ni mwanafunzi na hujui what's going on in field ndo maana unafikia kuamini mtu ataacha kuiba eti kv atafutiwa uanachama!! Hushangai ilikuwaje nikakushitukia!!!! NITAJIE HIYO HOJA AMBAYO SIJAIJIBU!!!
They dont work in real world ukimaanisha kwamba duniani watu hawafati their public finance Act? Ama unamaanisha kuna wachache wasiofuata? Rudia comments zangu zote utaelewa nnachomaanisha, NAMAANISHA HIVI HATA MHASIBU AKIWA ASKARI NI LAZIMA AFATE KANUNI NA SHERIA ZA KIUHASIBU, HAKUNA SHERIA YA KIUASKARI INAYOMTAKA ASKARI KWENDA KINYUME NA TARATIBU NA SHERIA KWA SBB TU YA KUAMBIWA NA BOSI WAKE, ASKARI ATAFATA SHERIA ZAKE KAMA ASKARI LAKINI PIA ATAFATA SHERIA ZA UHASIBU AKIWA ANAFANYA KAZI ZA UHASIBU,
 
We unajichanganya, hiyo mada ya kutokufuata ethics labda ya kwako mimi nimecomment kutokana na uzi alouleta mleta mada, naona wewe ndo umebadilisha mada na kuleta za kwako
Unaona sasa unavyoanza kujikana mwenyewe?! Kuna mtu nilimjibu kwa hii post:
Unayosema ni kweli kwamba ingawaje kiutaratibu jeshi linaendeshwa kiamri na aliye chini hawezi kuhoji amri kutoka juu lakini hapa tuwe wakweli pia! Hivyo ulivyosema NDIVYO INATAKIWA KUWA! Hata kama mimi ni Koplo, wewe Major hauna mamlaka ya kijeshi ya kuniamrisha NIKAKULETEE DEMU wako... ukifanya hivyo; maadili ya kijeshi yananipa nguvu ya kukukatalia! Hivyo ndivyo INAVYOTAKIWA! But when we go to the real world... I mean to the real military world, hali ni tofauti! Ni askari wachache sana tena sana wenye ubavu wa kuhoji amri zisizo halali... ni almost HAKUNA! Ni ngumu sana kwa junior officer kuhoji amri isiyo halali ya Brigerdia ingawaje anayo haki hiyo! Ikiwa hata huku uraian watu wanaingia matatizoni kv tu walitii tena shingo upande amri za mabosi raia wenzao, seuze majeshini?!

Lakini tukirudi kwenye mada kuu; Mhasibu Raia ana uwezo wa kutotii amri ya Mheshimiwa mwenye manyota si tu kwa sababu hawajibiki kwenye military chain of command lakini vile vile yeye si mwajiriwa ama wa jeshi au wizara husika ya ulinzi. Hii ndiyo sababu ambayo pia miaka takriban 8 iliyopita wakati serikali inaajiri Internal Auditors; ikaonekana hawa wasiwe waajiri wa halmashauri moja kwa moja bali wa Hazina.
Wewe ukani-quote hiyo post na kuandika:
Nataka kujua tofauti ya mhasibu raia na mhasibu mwanajeshi, kwamba wanajeshi wana bodi yao ya uhasibu inatumia sheria zao tofauti na NBAA ama? Kwamba ethics zao ni tofauti?
Ndipo nikahoji:
Are you seriously talking of ethics?! Anyway, kukujibu swali lako, professionally there's no different!! Naamini ulitaka kujenga hoja... am waiting!
Sasa huyo mleta mada unayedai ndie ulimjibu ni kwa post ipi?! Na kama lengo ilikuwa kumjibu mleta mada inakuaje ukani-quote mimi?! Au hufahamu maana ya ku-quote?!
 
Rais anapaswa kuwa makini sana na maagizo yake, maagizo mengine yanaigharimu sana nchi.
 
They dont work in real world ukimaanisha kwamba duniani watu hawafati their public finance Act? Ama unamaanisha kuna wachache wasiofuata? Rudia comments zangu zote utaelewa nnachomaanisha, NAMAANISHA HIVI HATA MHASIBU AKIWA ASKARI NI LAZIMA AFATE KANUNI NA SHERIA ZA KIUHASIBU, HAKUNA SHERIA YA KIUASKARI INAYOMTAKA ASKARI KWENDA KINYUME NA TARATIBU NA SHERIA KWA SBB TU YA KUAMBIWA NA BOSI WAKE, ASKARI ATAFATA SHERIA ZAKE KAMA ASKARI LAKINI PIA ATAFATA SHERIA ZA UHASIBU AKIWA ANAFANYA KAZI ZA UHASIBU,
Wala hukuwa na sababu ya kiandika kwa herufi kubwa kv umerudia kile kile ambacho wengi hapa wameshakizungumzia! Kwamba, sawa wewe ni Mhasibu ambae unafahamu miiko ya kazi yako! Lakini anakuja aliye juu yako anakupa amri ya kufanya jambo ambalo unafahamu kabisa ni kinyume na maadili ya uhasibu lakini kwavile amri imetoka juu chain of command inakunyima confidence ya kuhoji! Na ndio maana tangu mwanzo nilisema lengo ni kupunguza risk associated from a chain of command! Kwamba mtu atii amri isiyo sawa kwa mujibu wa taratibu za kihasibu kwa kutumia sababu nyingine kabisa... kv kutojiamini au huenda nae atanufaika! Lakini tunapunguza risk ya watu kutii kv agizo ni la mkubwa wao!!
 
Unaona sasa unavyoanza kujikana mwenyewe?! Kuna mtu nilimjibu kwa hii post:
Wewe ukani-quote hiyo post na kuandika:
Ndipo nikahoji:Sasa huyo mleta mada unayedai ndie ulimjibu ni kwa post ipi?! Na kama lengo ilikuwa kumjibu mleta mada inakuaje ukani-quote mimi?! Au hufahamu maana ya ku-quote?!
Yes nilikuquote baada ya kuona unapotosha mambo, kwa kusema kwamba(Mhasibu Raia ana uwezo wa kutotii amri ya Mheshimiwa mwenye manyota si tu kwa sababu hawajibiki kwenye military chain of command lakini vile vile yeye si mwajiriwa ama wa jeshi au wizara husika ya ulinzi) na ndipo swali la ethics likaja, unaekaje ethics pembeni ukizungumzia profesional km uhasibu? Hivi unajua kuwa katibu mkuu wa wizara ya ulinzi anauwezo wa kumfukuza kazi mfanyakazi wa wizara yake hata awe ni raia? Ukiajiriwa na utumishi ukapelekwa wizara fulan maana ake wewe unawajibika kwa katibu mkuu wa ile wizara si utumishi tena unless kuna conflicts ambazo utumishi zitaingilia,
 
I think wewe unafanya kazi kiunethical sana ndo mana unatetea mtu kufanya kazi bila kufuata taratibu, na hakuna sehemu niliposema kwamba eti watu hawaibi, the issue here was kwamba eti mhasibu akiwa polisi atashindwa kufata taratibu kisa tu sababu ya bosi wake, ndicho ambacho tulichokuwa tunaargue nacho, ndo ayakatokea hayo ya ethics, umetoa mpk mfano wa sijui mtt wa mwamunyange as if hii nchi haina sheria kwamba hata ndgu wa mwamunyange akuamrishe askar kisa ndugu yake ni bosi
Angalia sijui ni madudu gani unaongea haya!! Kuambiwa what's going on real world ndo kutetea? Unadhani wewe na hao ambao walileta huo mfumo unataka kusema we ndo unajua sana kuliko wao? Au unataka kusema na wao walikuwa wanatetea kufanya kazi bila maadili?!
 
Wala hukuwa na sababu ya kiandika kwa herufi kubwa kv umerudia kile kile ambacho wengi hapa wameshakizungumzia! Kwamba, sawa wewe ni Mhasibu ambae unafahamu miiko ya kazi yako! Lakini anakuja aliye juu yako anakupa amri ya kufanya jambo ambalo unafahamu kabisa ni kinyume na maadili ya uhasibu lakini kwavile amri imetoka juu chain of command inakunyima confidence ya kuhoji! Na ndio maana tangu mwanzo nilisema lengo ni kupunguza risk associated from a chain of command! Kwamba mtu atii amri isiyo sawa kwa mujibu wa taratibu za kihasibu kwa kutumia sababu nyingine kabisa... kv kutojiamini au huenda nae atanufaika! Lakini tunapunguza risk ya watu kutii kv agizo ni la mkubwa wao!!
How do u confident kwamba mhasibu raia anaweza kuhoji an askar mhasibu asiweze? Huyo mhasibu raia hareport kwa huyo bosi askari? Yaani tunarudi kule kule, angalia post yangu ya juu, ukishapelekwa wizara fulani utawajibika katika hiyo wizara sio utumishi tena, kwahyo ni kutishwa hata mhasibu raia anaweza kutishwa na asihoji
 
Na nani kakwambia kuwa askar mhasibu hana uwezo wa kuhoji? Naomba unijie na kifungu cha sheria si maneno matupu
Ndo haya tuliyosema maswali ya kishule halafu baadae utasikia "umeshindwa kujibu maswali yangu!" Sasa wewe mwenyewe ndo swali hilo?! Ikiwa unashindwa ku-connect dots on how military disciplines work utaishia kuuliza maswali kama haya!!
 
Angalia sijui ni madudu gani unaongea haya!! Kuambiwa what's going on real world ndo kutetea? Unadhani wewe na hao ambao walileta huo mfumo unataa kusema we ndo unajua sana kuliko wao? Au unataka kusema na wao walikuwa wanatetea kufanya kazi bila maadili?!
Mpaka hapa utakua ushakubaliana nami, kwaheri
 
How do u confident kwamba mhasibu raia anaweza kuhoji an askar mhasibu asiweze? Huyo mhasibu raia hareport kwa huyo bosi askari? Yaani tunarudi kule kule, angalia post yangu ya juu, ukishapelekwa wizara fulani utawajibika katika hiyo wizara sio utumishi tena, kwahyo ni kutishwa hata mhasibu raia anaweza kutishwa na asihoji
You're wasting my time coz' maswali unayouliza yote tushayatolea majibu! Ushaambiwa ikiwa hata Raia wanashindwa kuhoji toka kwa raia wenzao, itakuja kuwa Askari? Hiki kitu nimekielezea kabla ya saa mbili unusu asubuhi lakin bado unakirudisha saa 8... six hours later! Nisome hapa uone kama nimesema mara zote mhasibu raia huwa anahoji:
Unless kama hujanisoma kwenye posts zingine! Nimeshasema kabla kwamba hata huku uraiani wapo wafanyakazi kadhaa wanaotii amri zisizo halali! Lakini hapa kuna mambo mawili! Mosi, kuna kutii kwa sababu unafahamu hapa kuna kula! Hiyo ndiyo hoja yako na wala sio hoja inayozungumzwa hapa! Pili, kuna kutii kwa sababu unamhofia bosi wako... kv ndie mwajiri wako!! Sasa ikiwa utii wako unatokana na kumuogopa mwajiri wako; Raia aliye jeshini anakuwa insulated kv mwajiri wake sio Jeshi au wizara husika! Na ndio maana nikatoa mfano wa District Council Auditors... ili nao wawe insulated, Mwajiri wao hakuwa Halmashauri bali Hazina unless wawe wamebadilisha miaka ya karibuni!
Badala ya kurudia maswali yale yale unatakiwa kwanza kufahamu ikiwa maswali hayo yameshajibiwa au hapana vinginevyo itakuwa ni kupotezeana muda!!
 
Mkuu Elli tuna janga kubwa la Taifa kwa huyu jamaa kuwa madarakani.

Hapo ndio kwenye point muhimu kuliko zote kabisa, halafu mbaya zaidi ni kwamba kama atatokea mwanajeshi/Askari mwenye cheo kikubwa anaweza kuchukua fedha na rasilimali za Taifa/Jeshi na kuandaa jeshi lake/kundi lake la uhalifu. Hii ni hatari sana sana
 
Back
Top Bottom