Agizo la Magufuli laibua utata

Agizo la Magufuli laibua utata

Mkuu ni nini kilikupata ni mda mrefu sijakuona uku?
images.jpeg

swissme
 
Nenda kalete maombi yako kimaandishi...unamwambia afande...sipati picha...
Ila sidhani kama mtu anaweza omba ela kumalizia kibanda...ataomba kwa sababu za kiofisi issue inakuja ni nje ya budget...hapo ndo shughuli....unahoji au unasema sawa afande?
basi muwape vyeo wawe na nyota
 
Tutafika tu.wote unaona wenye ID mpya wote wanasubiria kutoka magereza na wote ni wanamapinduzi ukawa sijawai kuona mi ccm nimepigwa ban.


swissme

Wale hawawezi kupigwa ban japokua wanaongoza kutukana na kuleta habari za UONGO uku jamvini.
 
Nimekubaliana na wewe kwa kipi? Watu wanakupa field experience wewe unajikita kwenye notisi zinasemaje!!!
Wewe ni askari? Wewe ni mwanajeshi? Siishi kama wewe kwa kuconect dots tu, nna uhakika na nnchokisema, endelea kuconect dots
 
You're wasting my time coz' maswali unayouliza yote tushayatolea majibu! Ushaambiwa ikiwa hata Raia wanashindwa kuhoji toka kwa raia wenzao, itakuja kuwa Askari? Hiki kitu nimekielezea kabla ya saa mbili unusu asubuhi lakin bado unakirudisha saa 8... six hours later! Nisome hapa uone kama nimesema mara zote mhasibu raia huwa anahoji:Badala ya kurudia maswali yale yale unatakiwa kwanza kufahamu ikiwa maswali hayo yameshajibiwa au hapana vinginevyo itakuwa ni kupotezeana muda!!
U have wasted it enough,
 
Mmmh!! Hii nchi inamambo mengi sana! Marais watano wa chama kimoja ila sera na malengo ni tofauti kabisa as if niwapinzani. Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri!
Kila anayeingia anaingia na mambo yake aliyojiwekea mfukoni halafu utarajie kutakuwa na jipya?
 
Pia napata wasiwasi kuwa hata Baraza la Mawaziri halishirikishwi kwenye haya matamko na maamuzi.

Haiwezekani hata siku moja Baraza la Mawaziri likashiriki kwa mambo kama haya. Lingekuwa linashirikishwa hakika haya yanayotokea sasa yasingetokea.
 
Pentagon, Kuna Wafanyakazi Raia iwe Tz? Nyerere na Kisomo chote cha Ukweli, Mkapa na Uwezo wake Mkumbwa Kiutawala Tangu Nyerere Hakuliona! Mwishoni Utasikia Naaatangaza Kuiondoa Tanzania UN! Uingizaji wa Magari Nchini Mpaka Nitoe Kibari iri Mpande daradara Kupunguza Foreni za barabara! Hiri ra kupunguza Uingizaji Magari arinishauri Mwanangu Makondi, Baada ya Kiasi cha dora kupungua hazina, na Ra Kujitoa UN, Kanishauri kaka yangu Kagame, Nitakataaje Na Wake zetu Majina yao yanafanana, Hiri Nimeona nirichomeke. msg sent and derivadi, msemakweri ni mpezi wa ....
Hahahaaaa naogopa ku-like
 
In the first place polisi wenyewe ndo walilalamika so hawawezi tena enda mwambia twaomba tubakishie wahasibu.
ITAKULA KWAO UNLESS KAMA NI MWENDO WA KUKANA WALICHOSEMA MWANZO.
In principal Mhasibu kuwa raia ndo inatakiwa ili suala la ndio mzee liishe.
 
Wewe ni askari? Wewe ni mwanajeshi? Siishi kama wewe kwa kuconect dots tu, nna uhakika na nnchokisema, endelea kuconect dots
Hujui unachoongea kwahiyo endelea kuishi kwenye fantasy world...
 
Back
Top Bottom