Agizo la Magufuli laibua utata

Agizo la Magufuli laibua utata

Hakuna sbb zozote za msingi bali ni kwamba nafasi zimetokea mwenye sifa anaomba thats it, kama imeonekana wanafanya fujo watoks tu
Sijasema waende kufanya fujo na wenye taaluma zao hawafanyi fujo
Na wapo zaidi ya RAIA ndani ya majeshi
 
We bhana... the problem unazungumzia mambo vile ambavyo yanapaswa kuwa lakini huzungumzii vile yalivyo katika uhalisia wake!! Tatizo lako lingine unadhani Auditors wapo kuzuia wizi... utazuia vipi wizi ambao umeshafanyika?! Ni wangapi wanaacha kuiba eti kisa wanawaogopa auditors?!
Auditor kazi yao siyo kuzuia wizi bali kubaini wizi ili hatua zichukuliwe kwa wahusika na kusaidia katika kuboresha mifumo kwa kuhamasisha uwajibikaji..thats how CAG anafanya kazi...anawabaini wezi na waliofanya vizuri kwa kutoa hati safi na chafu...narudia kusisitiza kuweka wahasibu ambao ni raia huko jeshini siyo suluhisho la matatizo yanayolikabili jeshi kwa sasa...
 
Haloho ebu nichotee kamilion 25 nikamalizie kibanda sawa afande
Nenda kalete maombi yako kimaandishi...unamwambia afande...sipati picha...
Ila sidhani kama mtu anaweza omba ela kumalizia kibanda...ataomba kwa sababu za kiofisi issue inakuja ni nje ya budget...hapo ndo shughuli....unahoji au unasema sawa afande?
 
Auditor kazi yao siyo kuzuia wizi bali kubaini wizi ili hatua zichukuliwe kwa wahusika na kusaidia katika kuboresha mifumo kwa kuhamasisha uwajibikaji..thats how CAG anafanya kazi...anawabaini wezi na waliofanya vizuri kwa kutoa hati safi na chafu...narudia kusisitiza kuweka wahasibu ambao ni raia huko jeshini siyo suluhisho la matatizo yanayolikabili jeshi kwa sasa...
Sasa huoni kuwa wanazuia wizi...?!
Ukijua kuwa utabainika na Auditor si inakuzuia usiibe...?
Wako pale kufanya serikali iwe proactive si reactive...
Kwani nadhani moja ya kazi zao ni kushauri management pale inapoona imetoka nje ya mstari (au wanasubiri waharibu)

Kama sisi ofisini kwetu wanapitia vocha kabla hazijalipwa na wahasibu...meaning wana chance ya ku prevent madudu yasitokee
 
Sasa huoni kuwa wanazuia wizi...?!
Ukijua kuwa utabainika na Auditor si inakuzuia usiibe...?
Wako pale kufanya serikali iwe proactive si reactive...
Kwani nadhani moja ya kazi zao ni kushauri management pale inapoona imetoka nje ya mstari (au wanasubiri waharibu)

Kama sisi ofisini kwetu wanapitia vocha kabla hazijalipwa na wahasibu
yah upo sahihi...tunaongea lugha moja in different perspective
 
Auditor kazi yao siyo kuzuia wizi bali kubaini wizi ili hatua zichukuliwe kwa wahusika na kusaidia katika kuboresha mifumo kwa kuhamasisha uwajibikaji..thats how CAG anafanya kazi...anawabaini wezi na waliofanya vizuri kwa kutoa hati safi na chafu...narudia kusisitiza kuweka wahasibu ambao ni raia huko jeshini siyo suluhisho la matatizo yanayolikabili jeshi kwa sasa...
Hilo nalifahamu! Ama ni wewe au mwenzako nilishamuuliza; sasa akishajua ndo nini wakati watu wameshapiga?! Who give the shit about hati chafu?! Ikiwa watu wanaiba huku wakijua kabisa lazima issue itabumbuluka na wanaweza kupelekwa mahakamani na hata jela but still wanaiba... sasa ni nani anajali kuhusu hizo hati chafu?!

But in addition, don't exaggerate. Hakuna aliyesema ukiweka Wahasibu raia ni suluhisho bali watu wanazungumzia risk minimization katika kutii amri ambazo wakati mwingine zinakuwa zinakiuka miiko ya kazi!
 
ime nigusa hii

lipa pesa hizi!!! ndio afandee kujaaaaalh salute!!!
Mhasibu koplo, mkuu wa kikosi kanali. Halafu itakuwaje kuhusu mishahara? Atalipwa kama koplo au mhasibu? Au kama anadegree ya uhasibu jeshini itabidi awe afisa labda kapteni au meja. Sasa akienda koplo kuhitaji malipo pia ni shida maana itaonekana koplo anamtuma meja. Ni balaa tupu.
 
Sawa ila ni hatari! Mfano kuna watu ni masekretari wa makamanda wa polisi sasa huyu anajua siri nyingi za jeshi halafu umtoe umpeleke halmashauri! Mh!!!
 
Umuhimu wa raia ni upi na hizo effects ni zipi? Kwani mwanajeshi alosomea uhasibu na raia alosomea uhasibu tofauti yao ni nini? Kanuni sheria wanazofanyia kazi ni tofauti? Au wanajeshi wana bodi yao ya uhasibu na raia wana bodi ya uhasibu inayoshughulikia ethics? Acheni siasa katika ukweli

Anasema Raia wa kawaida ndio wanafanya ufisadi ndani ya jeshi, hii ina ukweli kiasi fulani
 
Hilo nalifahamu! Ama ni wewe au mwenzako nilishamuuliza; sasa akishajua ndo nini wakati watu wameshapiga?! Who give the shit about hati chafu?! Ikiwa watu wanaiba huku wakijua kabisa lazima issue itabumbuluka na wanaweza kupelekwa mahakamani na hata jela but still wanaiba... sasa ni nani anajali kuhusu hizo hati chafu?!

But in addition, don't exaggerate. Hakuna aliyesema ukiweka Wahasibu raia ni suluhisho bali watu wanazungumzia risk minimization katika kutii amri ambazo wakati mwingine zinakuwa zinakiuka miiko ya kazi!
Tangu nchi ipate uhuru hatujawah kujaribu kutumia wahasibu ambao ni askari...si dhambi kujaribu njia zingine katika kuongeza ufanisi...so ngoja tujaribu kwanza tuwapumzishe hawa raia...maana wengi wao ni wattoto wa vigogo wa jeshi ambao ni vigum kutotii maagizo na ndiyo wengi wamebainika kulisababishia jeshi hasara
 
Usidanganye, amri halali kwa sheria za kijeshi ni amri zile zinazoweza kutekezeka na wala haimaanishi usahihi wa jambo uliloamriwa.

Ukiambiwa sukuma nyumba ni amri halali japo kiusahihi huwezi kuisukuma nyumba. Lakini sukuma nyumba mpaka ianguke, hiyo siyo amri halali lakini itabidi uoneshe utii kwa kuisukuma japo unajua kuwa haitaanguka. Mhasibu mwanajeshi akiambiwa fanya malipo haya kwa huyu na haya mengine usifanye kwa sasa, hiyo itakuwa ni amri halali, hawezi kubisha hata kama aliyeamriwa alipwe pengine hakutimiza vigezo vya kulipwa.

Hili la kuwaondoa wahasibu raia jeshini likitekelezwa, kitakachowasaidia hao wahasibu ni kuomba maelekzo kutoka kwa makamanda kwa maandishi ili huko mbeleni wasiishie jela.
Mkuu Msambichaka unachosema wewe ni tafsiri yako. Nilichoeleza mimi ni utaratibu ulioko kikanuni ambao upo kimaandishi. Kulingana na kanuni hizo "Amri ya kusukuma nyumba" haiwezi kutolewa. Ikitolewa amri ya namna hiyo moja kwa moja askari watajua afande amechanganyikiwa. Jeshini kila kitu kina utaratibu wake siyo kwamba ukiwa afande unajifanyia unavyotaka. QED
 
Tangu nchi ipate uhuru hatujawah kujaribu kutumia wahasibu ambao ni askari...si dhambi kujaribu njia zingine katika kuongeza ufanisi...so ngoja tujaribu kwanza tuwapumzishe hawa raia...maana wengi wao ni wattoto wa vigogo wa jeshi ambao ni vigum kutotii maagizo na ndiyo wengi wamebainika kulisababishia jeshi hasara
Mbona hiyo conclusion yako ni kinyume chake?! Wewe unadhani huko jeshini hakuna watoto ambao ni wa askari na pia ni wahasibu?! We hudhani unaweza kukuta Brigedia X ana mtoto askari na pia Mhasibu lakini mtoto huyu anashindwa kuhudumu kama Mhasibu kv Mhasibu analetwa na Hazina! Kinyume chake, leo hii Brigedia wa Kambi anaambiwa afanye recruitment ya Mhasibu kutoka miongoni mwa askari ambao ni wahasibu! Unadhani atampa nani kati ya Askari Mhasibu anayetoka uraiani na Askari Mhasibu anayetoka barracks za kijeshi hata kama si wake mwenyewe?
 
Auditor kazi yao siyo kuzuia wizi bali kubaini wizi ili hatua zichukuliwe kwa wahusika na kusaidia katika kuboresha mifumo kwa kuhamasisha uwajibikaji..thats how CAG anafanya kazi...anawabaini wezi na waliofanya vizuri kwa kutoa hati safi na chafu...narudia kusisitiza kuweka wahasibu ambao ni raia huko jeshini siyo suluhisho la matatizo yanayolikabili jeshi kwa sasa...
Unajua km kuna aina mbili za auditor?
 
Tangu nchi ipate uhuru hatujawah kujaribu kutumia wahasibu ambao ni askari...si dhambi kujaribu njia zingine katika kuongeza ufanisi...so ngoja tujaribu kwanza tuwapumzishe hawa raia...maana wengi wao ni wattoto wa vigogo wa jeshi ambao ni vigum kutotii maagizo na ndiyo wengi wamebainika kulisababishia jeshi hasara
Do u have th evidence kwamba hakuna wahasibu askar au mwanajeshi since uhuru? Maana nimesoma na askari weng sasa sijui hua wanaenda wapi
 
Mhasibu koplo, mkuu wa kikosi kanali. Halafu itakuwaje kuhusu mishahara? Atalipwa kama koplo au mhasibu? Au kama anadegree ya uhasibu jeshini itabidi awe afisa labda kapteni au meja. Sasa akienda koplo kuhitaji malipo pia ni shida maana itaonekana koplo anamtuma meja. Ni balaa tupu.
Ukiwa mhasibu means umeshasoma na ushafanya NBAA so ni lazima utapanda cheo huwez kua na cheo cha chini
 
Sasa huoni kuwa wanazuia wizi...?!
Ukijua kuwa utabainika na Auditor si inakuzuia usiibe...?
Wako pale kufanya serikali iwe proactive si reactive...
Kwani nadhani moja ya kazi zao ni kushauri management pale inapoona imetoka nje ya mstari (au wanasubiri waharibu)

Kama sisi ofisini kwetu wanapitia vocha kabla hazijalipwa na wahasibu...meaning wana chance ya ku prevent madudu yasitokee
Huyu anahisi akitajiwa auditor ye anamjua external auditor tu ambae ni wa CAG lakini itakuwa hajui kuwa kila ofisi ina internal auditor ambao kazi kubwa ni kama ulichosema
 
Mkuu Demulikuy,ili mjadala huu uweze kunoga ni vema tukajikita kuanzia mwanzo kwa nini raisi wa kwanza aliamua kufanya hivyo aliona nini??na ukumbuke kwenye utawala wa kwanza mashushushu walikuwa ni hatari kweli na ndio maana wamejaa kwenye vyombo hivyo.
Sababu iko wazi. Nafikiri Serikali iliona ni bora jeshi likajikita kwenye "core business" ambayo ni training na likijiweka tayari kwa tukio lolote lililotishia usalama wa nchi kutoka nje ya mipaka yetu. Ikumbukwe Wakati wa mwalimu Nyerere mipaka yetu ilikuwa na matishio makubwa sana kuliko hivi sasa. Tishio toka Malawi, South Africa (Kulingana na doctrine ya South Africa Wakati ule tulikuwa enemy no.1)na hata Congo uhusiano hukuwa mzuri sana pia Seychelles iliomba ulinzi wa Mwalimu na ukumbuke kuwa kilometa chache kutoka Seycelles kulikuwa na kisiwa cha Diego Garcia ambayo ilikuwa ni makao makuu ya 6th Fleet ya USA. Nadhani serikali iliona hizi support services zifanywe na raia ili wanajeshi waelekeze nguvu zao nyingi kwenye masuala ya ulinzi wa mipaka yetu. Haya ni mawazo yangu.
 
“Hao watumishi ambao ni raia, muwapeleke Utumishi, kwani hakuna polisi ambao wamesomea uhasibu, uhandisi pamoja na masuala ya utawala? Matatizo ya wizi wizi pamoja na yale ya watumishi hewa, kama yanaletwa na raia, IGP kaorodheshe majina yao wote watoke,” alinukuliwa Rais Magufuli..... great thinkers(wajuzi wa lugha) tuambieni maana ya maneno hayo yenye rangi nyekundu...... itakuaje ikiwa wenyewe sio chanzo cha wizi wizi
 
Back
Top Bottom