Ethics kutupwa nje au wewe ndo hutak kukubali ukweli? Huwez kuongelea kazi za kihasibu ukaacha ethics ndugu, na kama ingekua hvyo humu maofisini ingekua ni vurugu tu maana kila familia ya bosi ingekua inakupa amri, au mawaziri na makatibu wakuu wangekua wanafanya watakavyo si ni mabosi? Lakini mbona wakivunja sheria wanawajibishwa? No one is above the law hata uwe nani, ndo mana kuna sheria na taratibu, hakuna kitu kimafanyika bila sheria na utaratibu hata iweje ndo mana kila mtu na fani yake, mhasibi atakua mhasibu, mgavu atakua mgavi, na katik utumishi wa umma hakuna amri ya bila maandishi km hujui unless unajipa kesi bure, watu wanafanya kazi kwa mafaili sio mdomo,