KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Anafanya ku-act ukali kwa ajili ya tv tu.
Thanks Buddy, hapo haswa tatizo ni la kimfumo hata aje mchapakazi vipi kama system ni mbovu hakuna mabadiliko yoyoteKwba ajiuzulu haina mantiki.
Kwa sera ya uwakibikaji Mwanri ni mdogo kati ya wote.
Namfahamu huyu jamaa ni mchapa kazi, tatizo ni mfumo wote hauganyi kazi.
Hata hivyo nimeguswa na jinsi anavyochukia unadjirifu, apewe meno.