Agenda 2010: Supporting those who will stand for Change

Hivi pesa inapiga kura?

Hivi kura si siri ya mpiga kura?

Tatizo siyo watu wenye pesa tatizo ni "wananchi" ambao hawajui maana na umuhimu wa kura"

Kuna tatizo gani kuchukua fedha kwa X tajiri asiyefaa kuongoza supposinly amehonga na kumpigia kura Y ambaye ni kiongozi bora?
.
Tumain, njaa ni kitu kibaya, usisikie, mtu anauza uhuru wake kwa shibe ya siku moja tuu! si unaona tuu jinsi fulana na kufia zinavyonunua wanachama, itakuwa fedha?. Wee acha tuu, ila bora hai independent candidate waje.

Tatizo tena 2010 might be too late, unless political will imwingie JK afanye fast tracking kwa sababu kuna kesi ya katiba baada ya mahakama kuruhusu na kumuamuru kifungu hicho kiwe scraped off, serikali, imekata rufaa, sio kupinga uamuzi wa mahama kuruhusu independent candidate, bali kupinga legality na jurisdiction ya mahakama kuscrap kifungu cha katiba, ikidai haina mamlaka hiyo.
 
Ni kweli independent candidates wataleta mageuzi ya kweli, kuna very capable people ambao hawako tayari kusuffer humiliation ya dirty party politics, watajitosa, ila pia we'll have to swallow the bitter with the sweet
kwa sababu wenye pesa zao, watakuwa ni wabunge wa maisha.

very good point..........na isiwe pesa za kutokana na ufisadi.......mianya ya ufisadi ikizibwa kwa dhati........hawa watu watapungua sana.......ndio maana tunatakiwa kama serikali tuweke mikakati ili kuzuia mambo kama hayo yasitokee........sasa hivi yote yanatokea wenye pesa wanapeta as well as mediocre guys..........

Mtu kama ni tajiri wa halali akitumia utajiri wake kuwaletea chachu ya maendeleo wananchi...........hiyo ndio inatakiwa
 
Wagombea urais wakifikisha kura 500,000 au Milion moja wawe ni wabunge moja kwa moja...!!! wao hawatakuwa na Jimbo maalum watakuwa ni wabunge wa wananchi. Hii itaonesha kura za Wananchi hazijapotea bure. So far wapo wabunge kwa kura chini ya Elfu 10,000...sasa kwanini Mgombea Urais aliefikisha kura zaid ya lk5 asiwe Mbunge by defaults...let us change...!!!
 
Mabadiliko yataletwa na anayeyaamini, anayeyaamini inabidi awe na uthubutu... nichukue fomu, mtanipa kazi?

Kahangwa kila kitu kinapangwa; believe me muda si mrefu mtasikia kilio cha "mabadiliko" kikianza kusikika hata kutoka kwa watu msiowafikiria; we the people are going to set the agenda..
 
Bravo! Mwanakijiji, I have been reading several articles that you are writing and for this you deserve my salute. My advise is, I am not sure if everyone gets your valuable message and if this being the case I would request you to compile all of your articles into a single single text book.
 
Bravo! Mwanakijiji, I have been reading several articles that you are writing and for this you deserve my salute. My advise is, I am not sure if everyone gets your valuable message and if this being the case I would request you to compile all of your articles into a single single text book.


Asante kwa maneno yako ya kutia moyo na shime; ningekuwa nimechapa vitabu vyangu kadhaa lakini nimeshawishiwa kuwa Watanzania siyo watu wa kupenda vitabu vya waandishi wa Kitanzania; wanapenda waandishi wa nje zaidi.. Bado nafanya utafiti wa ukweli wa hoja hii.
 
Pongezi kwako na pia wewe ndio mtu wa kupongezwa maana umekuwa na mchango mkubwa sana katika Taifa letu na Pia Mungu akupe silaha na hekima zaidi. Ila kwanini mambo ni yale yale na watu wale wale
 
Asante kwa maneno yako ya kutia moyo na shime; ningekuwa nimechapa vitabu vyangu kadhaa lakini nimeshawishiwa kuwa Watanzania siyo watu wa kupenda vitabu vya waandishi wa Kitanzania; wanapenda waandishi wa nje zaidi.. Bado nafanya utafiti wa ukweli wa hoja hii.

Mkuu labda jaribu kutengeneza kanda kama alivyowahi kufanya Mtikila. Zilikuwa na washabiki wengi sana hata Serikali ya Mwinyi na baadaye Mkapa wakaingiwa na hofu.
 
Kahangwa kila kitu kinapangwa; believe me muda si mrefu mtasikia kilio cha "mabadiliko" kikianza kusikika hata kutoka kwa watu msiowafikiria; we the people are going to set the agenda..

Great then. If it pleases you count me in, enough has already been enough.
 
IN THE MISERY OF OUR POVERTY, WE HAVE FOUND SOLACE AND COMFORT!
mzee-mwanakijiji-albums-news-worthy-picture836-ajenda2010-phixr.jpg

By. M. M. Mwanakijiji

For there comes a time in history where the ruled would stand up and say no to their rulers; For us, this is the time and unto us history has chosen our side; we will seize this moment and not let it go without 'change' realized.

Agenda 2010 - Change is what we want, nothing less, nothing more for change is necessary and inevitable!

Be part of it or move aside...


Tukumbushane yafuatayo:

" Human progress is neither automatic nor inevitable... every step towards the goal of justice requires sacrifice, suffering and struggle, the tireless extortion and passionate concern of dedicated individuals"

Martin King Luther Jnr

How many of us are ready for the above??????

"Do what you can, with what you have, where you are."

Martin Luther King Jnr

What have we done where we are with what we have??????

"God grant me the serenity to accept the things i cannot change, the courage to change the things i can and the wisdom to know the difference.

Reinheld Neibuhr

And lastly,

"The world is a dangerous place to live; not because of the people who are evil, but because of the people who don't do anything about it"

Albert Einstein

What have we done about the above statement so that we achieve the changes MM is advocating??????
 
Watu wengi wanaochangia JF ni wale wenye mwanga wa yale yanayotkea nchini. Tatizo kubwa tulilonalo ni kuwa 80% ya wapiga kura wetu hawana uelewa wa kutosha wa namna ya kuleta mabadiliko ya msingi katika taifa letu. wengi waishio vijijini wangependa mabadiliko lakini wanaogopa kuyapigania kutoka na kutishwa na watawala wetu. Lazima mtambue kuwa huko vijijini kiongozi wa kijiji anamweka mtu detention na hakuna wa kuhoji.


Hivyo natoa mwito kwa Akimna Mwanakijiji na wenzake kupunguza mijadala katika mitandao na kwenda kufanya kazi na watanzania katika grassroot level

Nilishasema kwamba 80% ya watu hawajui lolote na wapo vijijini - cha msingi twendeni tukawape hii elimu ya uraia, hata kama tukiandika hapa JF ni 5% tu ya watu wanapitia. hatutafanikiwa kamwe.

hapa tunakumbushana tu sisi wenyewe lakini the fact is wale waliopo kwenye grassroot ndiyo wanaochagua viongozi wetu sasa bila wao kuelimishwa Viongozi wabuvu watapita na ndiyo wataliongoza taifa hili milele. Wake up tanzanians ....
 
Kudos Mwanakijiji. There we go hatuwezi kukubali Chama Cha Majambazi kiendelee kuiba keki ya taifa na kufaidi. JK ameshindwa kuongoza na anafikiria hatutaweza kuwafanya lolote - Wrong!

Taratibu! Usije ukaitwa Mwehu!
 
Asante kwa maneno yako ya kutia moyo na shime; ningekuwa nimechapa vitabu vyangu kadhaa lakini nimeshawishiwa kuwa Watanzania siyo watu wa kupenda vitabu vya waandishi wa Kitanzania; wanapenda waandishi wa nje zaidi.. Bado nafanya utafiti wa ukweli wa hoja hii.

Mzee, Watanzania usiwaandikie vitabu kwa sababu vitaishia kwenye makabati ya wachache na hao wachache wakishasoma wataviacha vijae vumbi. Andika vipeperushi vyenye ujumbe mzito na kodisha helicopta ya Mbowe ukavitawanye vijijini vitasomwa kwa bidii!! Lakini halahala helicopta isije ikatunguliwa!
 
Nilishasema kwamba 80% ya watu hawajui lolote na wapo vijijini - cha msingi twendeni tukawape hii elimu ya uraia, hata kama tukiandika hapa JF ni 5% tu ya watu wanapitia. hatutafanikiwa kamwe.

hapa tunakumbushana tu sisi wenyewe lakini the fact is wale waliopo kwenye grassroot ndiyo wanaochagua viongozi wetu sasa bila wao kuelimishwa Viongozi wabuvu watapita na ndiyo wataliongoza taifa hili milele. Wake up tanzanians ....

Nakubaliana nawe. Hapa JF watu wanapoteza pumzi. Elimu ya Uraia vijijini ni muhumu sana. Pia, Wabunge wetu wanaweza kuleta impact kubwa kuelekea mabadiliko tunayoyataka iwapo wao nao watakuwa mstari wa mbele na kusimama kidete katika kusimamia haki na maslahi ya wananchi badala ya kuangalia maslahi yao binafsi.
 
Nilishasema kwamba 80% ya watu hawajui lolote na wapo vijijini - cha msingi twendeni tukawape hii elimu ya uraia, hata kama tukiandika hapa JF ni 5% tu ya watu wanapitia. hatutafanikiwa kamwe.

hapa tunakumbushana tu sisi wenyewe lakini the fact is wale waliopo kwenye grassroot ndiyo wanaochagua viongozi wetu sasa bila wao kuelimishwa Viongozi wabuvu watapita na ndiyo wataliongoza taifa hili milele. Wake up tanzanians ....

Sheria zetu ndio tatizo la demokrasia, unachosema ni kweli kabisa wananchi wengi hawana elimu ya uraia na hii sio kwamba ni bahati mbaya ila ni kwa makusudi kwani kisheria hakuna mtu mwingine zaidi ya tume ya uchaguzi anayerehusiwa kutoa elimu ya uraia. Angalia regulation 3 mpaka 6 ya tangazo la serikali namba 231 la mwaka 2005.

Sasa fikiria mamlaka inayoteua tume ya uchaguzi, composition ya tume ya uchaguzi na kazi za tume ya uchaguzi. Unategemea kitu gani inabidi tufanye zaidi ya hapo hata kuvunja sheria kwa kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wote. Kama kesi na wafungue kama wanaona ni kosa.
 
Kuna tatizo gani kuchukua fedha kwa X tajiri asiyefaa kuongoza supposinly amehonga na kumpigia kura Y ambaye ni kiongozi bora?

kwa sababu kwa kufanya hivyo unatilia mafuta rushwa uchaguzi; ni wazo baya kupokea fedha za rushwa kwa kisingizio cha 'nitampigia mwingine'.. uchaguzi ujao unadhani atakupa tena? Watu wanapokea hela ya rushwa leo na wanampigia kura aliyewapa kwani wanajua miaka mitano baadaye atawapa tena!
 
kwa sababu kwa kufanya hivyo unatilia mafuta rushwa uchaguzi; ni wazo baya kupokea fedha za rushwa kwa kisingizio cha 'nitampigia mwingine'.. uchaguzi ujao unadhani atakupa tena? Watu wanapokea hela ya rushwa leo na wanampigia kura aliyewapa kwani wanajua miaka mitano baadaye atawapa tena!


Na after all kuna imani imepandikizwa na ina exist in rural Tanzania kwamba ukila cha mtu sharti ulipe, otherwise utapata laana wewe na kizazi chako!!!!! ........
 
Jamani tujiulize nani kaenda vijijini hivi karibuni na kutathmini hali halisi ya uelewa sio wa uraia bali wa matatizo yao. Kwa mfano sukari kilo ni shs ngapi kule kijijini ( ingawa ni luxury) sabuni ya kufulia ni kiasi gani leo ukilinganisha na miaka sita iliyopita, nauli ni kiasi gani ukilinganisha na miaka kumi iliyopita, je watoto wa kijijini wanaenda shule na wanapata elimu kama ndio je ni bora kama ya zamani.

Huduma ya afya ikoje leo inafuatwa umbali kiasi gani na huduma ya kweli inapatikana kama zamani, majibu ya masuali haya na kueleza wananchi kwa nini leo sio kama zamani hakika hiyo itakuwa ni tosha kuwafungua macho wananchi.

Wakifunguka macho chapter ya pili ni kuwaeleza kuwa hata wakipewa hela na mgombea kwa ajili ya kuwarubuni bado haitabadilisha maisha yao kwa hali yoyote iwayo ile nadhani wataelewa. kaulimbiu iwe elfu hamsini ya uchaguzi haibadili maisha, kura moja ya busara itabadili maisha basi.

Wananchi wa vijijini sio wajinga kama tunavyofikiri na sisi inabidi tuende huko vijijini sio kukaa kwenye desktop na kutheorize hatutafika mbali. Sasa hivi wanapokea hela kwa sababu hakuna mtu anayejitokeza na kukemea tabia hiyo.
 
Asante kwa maneno yako ya kutia moyo na shime; ningekuwa nimechapa vitabu vyangu kadhaa lakini nimeshawishiwa kuwa Watanzania siyo watu wa kupenda vitabu vya waandishi wa Kitanzania; wanapenda waandishi wa nje zaidi.. Bado nafanya utafiti wa ukweli wa hoja hii.
Mkuu nakushauri uandike vitabu (sio kitabu), ili mawazo yako yadumu katika vitabu hivyo na kuweza kufikia umati mkubwa zaidi. Lasivyo, mawazo hayo yatapotea kama moshi. Vitabu hudumu zaidi ya magazeti.

Inawezekana kuwa waTanzania wengi si wasomaji wa vitabu. Si vya ndani tu, bali hata vya nje. Ila utamaduni huo umetokana na kutokuwepo kwa vitabu vingi vyenye changamoto au hamasa kwa wasomaji. Na kama vitabu hivyo vipo, havipatikani kwa urahisi. Maduka mengi ya vitabu yanauza vitabu vya kiada zaidi. Waandishi wengi wa vitabu hawaandiki sana siku hizi. Utamaduni wa kusoma vitabu unaweza kufufuliwa na waandishi wa vitabu.

Nakupa moyo Mkuu, uandike vitabu vingi uwezavyo. Vitasomwa, vitaeleweka na baada ya muda vitakuwa chachu nzuri ya mabadiliko unayotamani. Kumbuka, utakuwa umejenga misingi ya baadae, si lazima viwe effective sasa kwa asilimia 100%.
 
Back
Top Bottom