Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
mshana jr hili nàona kama fumbo LA imani.
Je ni nini hasara za agano hili?
Je hili ni agano kati ya mtu na nani?
Pia najua kwenye agano kuna sadaka, sadaka gani hulewa kwenye agano hili?
mshana jr hili nàona kama fumbo LA imani.
Je ni nini hasara za agano hili?
Je hili ni agano kati ya mtu na nani?
Pia najua kwenye agano kuna sadaka, sadaka gani hulewa kwenye agano hili?
Aaaamen Mtumishi Wetu ila tayari nina wokovu ndio maana nayaandika haya bila hofuMshana Jr hii elimu ni ya kichawi
, ndio maana Mungu aliwarithisha Waisrael nchi ya Kanani ili waondoshe miungu ya kigeni!!
Huo ni uchawi, utabiri, kuangalia nyota, yote hiyo ni mbaya kwa Mungu Baba!!
Okoka mpe Bwn Yesu maisha upate elimu safi ya kiroho!!
nimerudi cc mshana jr
ok sawa nimekuelewa lakini sijakubali!View attachment 343312hili jambo si la kimungu bali ni nguvu zinazopingina na uwepo wa Mungu na zinazokinzana na nguvu zake...je umepata mwanga kidogo hapo?
Na ukishakubali basi tayari unakuwa umeingia kwenye maagano ambayo yana masharti magumu
Hakuna shida kabisa kuelewa ni kitu cha kwanza na kukubali au kukataa ni kitu kingine kabisa..hivi huwezi kuvichanganya pamoja, kwakuwa huwezi tu ukakurupuka kukubali bila kuelewa lakini unaweza ukaelewa na kukubali au ukaelewa na kutokubalianaok sawa nimekuelewa lakini sijakubali!
kweli kabisa...Hakuna shida kabisa kuelewa ni kitu cha kwanza na kukubali au kukataa ni kitu kingine kabisa..hivi huwezi kuvichanganya pamoja, kwakuwa huwezi tu ukakurupuka kukubali bila kuelewa lakini unaweza ukaelewa na kukubali au ukaelewa na kutokubaliana
Ndugu mshana icho kiapo kinaapwa wakati gani mchana au usikuHakuna shida kabisa kuelewa ni kitu cha kwanza na kukubali au kukataa ni kitu kingine kabisa..hivi huwezi kuvichanganya pamoja, kwakuwa huwezi tu ukakurupuka kukubali bila kuelewa lakini unaweza ukaelewa na kukubali au ukaelewa na kutokubaliana
Ngoja kuna mtu kapotea na Namdai ASANTE MSHANA NTALETA MREJESHOHakuna muda maalum
Ila ndugu mshana nisije nikaanza kuota ndoto za ajabu mkuuHakuna muda maalum
That's true..Always God is the greatest