AG Werema na DPP Feleshi wanamwogopa Rostam?

Naangalia kama hawa wasimamizi wa sheria zetu wanajua ni sheria ngapi Rostam amezivunja hadharani hivi karibuni katika suala hili la majadiliano ya Richmond. Najizuia kuanza kuzichambua nikiamini kuwa yawezekana wakuu hawa wanafikiria jinsi gani ya "kumwingia" RA. Vinginevyo, isije kuwa katika shamba hili "wanyama wote wana haki, ila wengine wana haki zaidi"!

we humuogopi?
 
Sioni sababu ya kumlaumu RA au fisadi mwingine yeyote nchini. Lawama zangu nawapelekea viongozi wakuu wa nchi, hususan Mr. President. Yeye ndio ana entertain upuuzi huu kuendelea. All this is Kikwete Administration basi.
 
de facto[/B] hapa bongo. Mkwere ni de jure ingawa kimwonekano Mkwere ni de facto.]

Wasp it from the above remarks that i salut you. JK mwenyewe anamuogopa RA, actually he knows what RA and Eddy can harm him asipocheza mziki wao. Ila iwe mchiriku, taarab, qaswida, R n B au Bongo Flava there is always a solution. Time will come

Ukweli ndiyo huo. Mkuu amebanwa kwenye kona mbaya. Zamani kwenye hesabu tungesema hivi; RA>EL>JK i.e JK< RA or EL. Labda aamue kujitutumua kama Bingu wa Mutharika!!
 
Ukweli ndiyo huo. Mkuu amebanwa kwenye kona mbaya. Zamani kwenye hesabu tungesema hivi; RA>EL>JK i.e JK< RA or EL. Labda aamue kujitutumua kama Bingu wa Mutharika!!

DC

RA is on top of everything na untouchable....ukitaka nchi iyumbe msumbue RA! hii hata GT anaijua, TRA walileta kiherere kuweka kufuri mitambo ya Dowans uliza kilichowapata!
 
DC

RA is on top of everything na untouchable....ukitaka nchi iyumbe msumbue RA! hii hata GT anaijua, TRA walileta kiherere kuweka kufuri mitambo ya Dowans uliza kilichowapata!

Ni kweli ila kinachonisikitisha ni kuwa nchi nzima imekosa hata mtu mmoja wa kusema tumenajisiwa vya kutosha na huyu bwana? Naona sasa atazidi kutufanyia mambo mabaya hadi kwa paka wetu huko nyumbani! Haachi kitu huyu ndugu na tumebaki kumwomba Mungu ashushe gharika. Tutajiokoaje sasa? Kwa sababu sala haziwezi kujibiwa haraka kama tunavyotaka:confused:
 
DC

RA is on top of everything na untouchable....ukitaka nchi iyumbe msumbue RA! hii hata GT anaijua, TRA walileta kiherere kuweka kufuri mitambo ya Dowans uliza kilichowapata!
TRA recodi zao zimepinda wanawezaje kuidai kampuni 9bil. all that time hawakuidai leo wanakuja kutuzuga sisi mimi naona wao ni sehemu ya tatizo pia..
"Bado hatujajua tatizo nalo ni CCM" finito..tukianza kuwachagua CCM you better kuliko yule hapo ndipo tutakapo pigwa changa la macho wakati kwenye vikao vyao vya siri wanacheka la kunywa bila taabu..hii ni kusema
JK=EL=RA=6=CCM
 
Mimi nafikiri mfanyabiashara haibi ila "anafanya negotiations" anayeiba ni anayeuza mali yake? nani alimpa tender RA?(kampuni yake) kwanini alikuwa weak kupata maslahi yake (nchi)??? alipata maslahi gani binafsi?? hayo ndiyo maswali yanayofaa kuwauliza technorat wetu hapo wizara ya madini na nishati???

wrong concept. mfanyabiashara akiunda kampuni feki na kutoa taarifa za uongo ili kujipatia fedha, huo ni utapeli, wezi na uhuni. Wafanya biashara wanaweza kuwa wezi, majambazi, nk.
 
wrong concept. mfanyabiashara akiunda kampuni feki na kutoa taarifa za uongo ili kujipatia fedha, huo ni utapeli, wezi na uhuni. Wafanya biashara wanaweza kuwa wezi, majambazi, nk.
Wrong argument: anayesajili kampuni feki na kuifanya halali ni nani..kwanini aruhusu hali hiyo hakutumia utaalamu wake ambao analipwa kufanya hiyo kazi na wabongo au ndio hizo PhD feki..
 
TRA recodi zao zimepinda wanawezaje kuidai kampuni 9bil. all that time hawakuidai leo wanakuja kutuzuga sisi mimi naona wao ni sehemu ya tatizo pia..
"Bado hatujajua tatizo nalo ni CCM" finito..tukianza kuwachagua CCM you better kuliko yule hapo ndipo tutakapo pigwa changa la macho wakati kwenye vikao vyao vya siri wanacheka la kunywa bila taabu..hii ni kusema
JK=EL=RA=6=CCM

Hiyo hesabu haiwezi kuwepo kwa sababu logic hazikubali. Kwani kama ni hivyo basi JK angeweza walau siku moja kujitutumua na kuwambia kuwa hakuna mwenye mabega makubwa kumzidi mwenzake na kwa hiyo ubia wetu unategemea concensus. Lakini siyo hivyo. Kwa hiyo hesabu, kesho RA ataita Press conference kukulaani na anaweza kukupeleka mahakamani udai fidia. Umemshusha sana hadhi yake!!
 
Mwanakijiji, usisumbue sana ubongo wako. Actually RA ndiye President de facto hapa bongo. Mkwere ni de jure ingawa kimwonekano Mkwere ni de facto. Angalia TRA walivyofungua makofuli yao fasta pale Dowans - Ubungo. Bungeni anataka ripoti mpya ya Richmond ifanyiwe uchunguzi na Majaji na sio ripoti feki ya Mwakiembe et al. Where does this kind of arrogance comes from? Definately he is holding the three cards. Mind you he holds a number of passports from different countries (Iran inclusive).


Kwa kuongezea JK nae wakati akijibu maswali ya wananchi TBC alisema yuko tayari waletwe wachunguzi wakimataifa kuchunguza Richmond!! ili hali akijua ripoti ya Bunge ipo na kila kitu kimewekwa wazi . je alionyesha kutoamini ripoti ya bunge? Je alikuwa ndio ameanzisha wazo la kuunda tume nyingine kuchunguza Richmond? ya majaji? Mi nilidhani issue ya Richmond imeshafanyia kazi na kinachosubiriwa ni hatua .. sasa mkulu aliposema yupo tayari kuleta wachunguzi wa kimataifa .. kwa upande mwingine unajiuliza .. mbona uchunguzi tayari mzee ? au ndio poteza poteza muda kidogo .. eyahay.. yani JK kwa mfano angemtumia tu Hosea hatat kamam ni yeye alimtuma angemuomba tu bwanan ntakutafutia kazi nyingine wewe nenda tu tuuwe soo .. yoteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee haya yasingemkuta .. hivi nani anamshauri JK?
 
Kwani huyu RA ni nani mpaka watu wamwogope kiasi hiki. Huwa anasoma hizi habari kweli? Lakini time will tell bado kitambo kidogo kitaeleweka. Ole wao wenye kuchukua mali zetu na kuzifanya zao maana........
 
Naangalia kama hawa wasimamizi wa sheria zetu wanajua ni sheria ngapi Rostam amezivunja hadharani hivi karibuni katika suala hili la majadiliano ya Richmond. Najizuia kuanza kuzichambua nikiamini kuwa yawezekana wakuu hawa wanafikiria jinsi gani ya "kumwingia" RA. Vinginevyo, isije kuwa katika shamba hili "wanyama wote wana haki, ila wengine wana haki zaidi"!
Wrong perspective: Kama kawaida yako thread zako very selective to individual of certain section of group of jamii.kamwe issue ya ufisadi si RA pekee ni issue ya kitaasisi CCM as whole" kwakuwa umeanza na wrong analogy Werema,feleshi vs RA unasahau kwamba wote ni zao la CCM therefore Werema=feleshi=RA. wako pamoja sirini kwenye vikao vya maana siyo press conference.
 
Wrong perspective: Kama kawaida yako thread zako very selective to individual of certain section of group of jamii.kamwe issue ya ufisadi si RA pekee ni issue ya kitaasisi CCM as whole" kwakuwa umeanza na wrong analogy Werema,feleshi vs RA unasahau kwamba wote ni zao la CCM therefore Werema=feleshi=RA. wako pamoja sirini kwenye vikao vya maana siyo press conference.

... ni ipi hiyo Tumain?!
 
Naangalia kama hawa wasimamizi wa sheria zetu wanajua ni sheria ngapi Rostam amezivunja hadharani!
Mzee Mwanakijiji, sisi tunafuata mkondo wa sheria wa Comon law, tumeurithi toka kwa Muingereza, mwenye uwezo wa kutamka kosa, ni mahakatu tuu, pekee. Kazi ya DPP ni kuprosecute akijiridhisha kuna kosa ndipo anafungua mashitaka na mahakama ndio itamke ana kosa.

RA ana kosa gani, hajawa hata kuwa investigated au prosecuted sembuse kushitakiwa?.

Naamini Mwanakijiji unaijua sheria iliyoanzisha ofisi ya DPP na mamlaka yake. Kwa wasiojua, ni DPP tuu na Rais ndio wenye maamlaka ambayo haiwi questioned na mamlaka nyingine yoyote. Hata rais hana mamlaka ya kuingilia utendaji wa DPP.

Hivyo DPP anatimiza wajibu wake vizuri tuu kwa mujibu wa mamlaka yake at his discreation as pleases. Haruhusiwi kuingiliwa na yoyote. Ndiyo mamlaka aliyopewa na sheria, kama power za rais kuteua wakuu wake, haingiliwi na yoyote, sasa atashauriwa tuu.

Werema has nothing to do with RA, Feleshi has all the powers not to prosecute The King Maker because there are two more kings to be made for 2015 and 2025!.
 
Back
Top Bottom