Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Naangalia kama hawa wasimamizi wa sheria zetu wanajua ni sheria ngapi Rostam amezivunja hadharani hivi karibuni katika suala hili la majadiliano ya Richmond. Najizuia kuanza kuzichambua nikiamini kuwa yawezekana wakuu hawa wanafikiria jinsi gani ya "kumwingia" RA. Vinginevyo, isije kuwa katika shamba hili "wanyama wote wana haki, ila wengine wana haki zaidi"!