Afya ni mtaji lakini katika mazingira machafu pesa inakuwa mtaji wa kutafutia afya

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
340
398
Serikali imekuwa mstari wa mbele kuhamasisha wananchi wawe na vyoo bora, lakini wao kwenye ofisi zao binafsi ni chafu, sink limefubaa hata mhudumiwa anastaajabu.

Lakini leo, hiki ni choo cha Ofisi ya Kata Mshangano. Tazama picha hapa ndani, chooni na ofisi ipo pembeni. Serikali chukueni hatua.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…