The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
- Thread starter
- #261
Unataka kumaliza swala wote mbugani mkuu....lol...Nadhani nije na GOBOLE tu ili tusipoteze muda mwingiii,
Unataka kumaliza swala wote mbugani mkuu....lol...Nadhani nije na GOBOLE tu ili tusipoteze muda mwingiii,
..Hapana tutatafuta yule alienona, wewe andaa Moto wa kuchomea nyama, Swala niachie mimiUnataka kumaliza swala wote mbugani mkuu....lol
:lol::lol: Afro D atakuwa wa kwanza huyo anapetiwa na mwenzake
BAK Togwa umenikumbusha mbali kweli aisee
Weee umeishakuwa alwatani kabisa...tuweke oda kabisaNilikuwa napiga hii niko darasa la pili, jamani kanikumbusha mbali sana
Nilivyofika la tano nikahamia kwenye mbege
High school nikapiga kitu ulanzi, uzuri hii haina hengí ova ila unalala sana
Haya kamanda usije ukaingia mitini na nyama yote tubakia tunaota moto tu..Hapana tutatafuta yule alienona, wewe andaa Moto wa kuchomea nyama, Swala niachie mimi
Unataka kumaliza swala wote mbugani mkuu....lol
..Hapana tutatafuta yule alienona, wewe andaa Moto wa kuchomea nyama, Swala niachie mimi
Hahahaha!!! Kongosho banaa....lolzNavyopenda wanyama pori na hao akina mtembezi, mkiongelea naskia hadi maini yangu yanajigeuza kwa furaha.
...TF upo wapi na BirthDay Girl, nyama ishakwiva hapa, tafadhali usisahau kuja na chupa yangu ya Jack Daniels...Nna kiuHaya kamanda usije ukaingia mitini na nyama yote tubakia tunaota moto tu
I'll be back!
I know ..I know...
On my defence...sikua nimepanga muda mrefu wala sikutaka kukwambia kijuu juu.
I'm replacing my ''you know what'' on friday so nipe mpaka hiyo ijumaa then ntakua tayari kujitetea...na kupokea hukumu.
Kuhusu Bday I still don't get it....maelezo pleaaaaaase!
Happy birthday 'rafiki'. Nakutakia maisha marefu na yenye mafanikio tele.
Hapana bana........mi nataka fanta nyeusi........lol
hahahahaha BW naona umesha anza ku chemka na moja hahahongeza chupa ingine tafazali
Sina shaka kalenda yako Lizzy ni ya mchina....otherwise there r smthng wrong, labda Afro aatujuze hapa...!!
Bt ni kweli ulikuwa kaunta ya juu weekend? ukachanganya videsa??hahaa lol
Nina hamu kwelli ya kuiona hiyo kaunta ya juu, manake inapigiwa promo mbaya, hambanduki huko lol
sante sana Mkuu TallHappy birthday ad.
Aisee kaunta ya juu tuna hisa kabisa
Afrodenzi ana hisa 40%
Kimey ana hisa 40%
Asprin ana hisa 40%
Lizzy ana hisa 40%
Wiselady ana hisa 40%
Preta ana hisa 40%
Blaki Womani ana hisa 40%
Afro....wakati nachagua chagua hapa, nimeiona hii, hembu chukua na naenda showroom kukuchangulia bajaji...Lol
![]()
mgumu kulipa bill mpaka lawyer kloro aingilie kati
TF hebu ninong'oneze bana ni wapi hapo maana hizo chupa zinaleta kiu mchana huu
to us and others!
oooh! yeeeh! we gotta pat till dawn in dos islands of barbados wit em!
This bike is special for you...If u dnt knw how to ride, plse send it to ur beloved Dad...say everything abt me!!
Now am heading to another shop...kukutafutia security.
![]()
Dont panic...this is very special type of short Gun for your JF enemy!!, It is for your safeguard so to keep u live long and long n long.. live...!! Weka hizo bullets lakini sikufundishi how to shut!! Usije ukaua bure!!
Naenda duka la vinywaji, kuna brand mpya zimetoka france....nitaziweka soon nikifika!!
![]()
hahahahahah lol! Rubani mie sitii neno 🙂🙂 sasa kwa wanywaji wengine huwa tunapenda kuzimua kwa Togwa 🙂🙂 hivyo usisahau kuweka Togwa. Mie nitazuka mitaa hiyo nikishamaliza majukumu yangu ya siku ya leo 🙂🙂
HAPPY BIRTHDAY AD
Sante sana dearHapp birthday AD.
:lol:heri ya siku yako ya kudhaliwa
waoooooooSide by side or miles apart![]()
True friends are always close to your heart
Whether you're turning five or fifty-three
You know that I'm a true friend because you're here beside me
I'm here, right now, on your special day
So lets give a cheer for you, hip, hip, hooray!
Happy BirthDay Friend, Afro D
Happy bday Afrodenzi
![]()
You must have looked like one of these brats somtime ago!!!!:lol::lol:
mweeehhhhh:lol::lol: Afro D atakuwa wa kwanza huyo anapetiwa na mwenzake
...TF upo wapi na BirthDay Girl, nyama ishakwiva hapa, tafadhali usisahau kuja na chupa yangu ya Jack Daniels...Nna kiu
![]()
![]()
I'll be back!
Kipindi fulani wakati bado nasoma shule wakati tunafanya community service kuna mitaa tulipita tukakuta wanapika Togwa muda mrefu kweli umepita
:lol::lol: Afro D atakuwa wa kwanza huyo anapetiwa na mwenzake
Jamani mmenibakishia keki?