Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Sina shaka kalenda yako Lizzy ni ya mchina....otherwise there r smthng wrong, labda Afro aatujuze hapa...!!
Bt ni kweli ulikuwa kaunta ya juu weekend? ukachanganya videsa??hahaa lol

Sizinga inabidi nirudi nilipoinunua aisee!!
Kuhusu kaunta ya juu lolzzzz....usimsikilize Fynest nasingiziwa tu...!!
 

Nina hamu kwelli ya kuiona hiyo kaunta ya juu, manake inapigiwa promo mbaya, hambanduki huko lol
Aisee kaunta ya juu tuna hisa kabisa

Afrodenzi ana hisa 40%
Kimey ana hisa 40%
Asprin ana hisa 40%
Lizzy ana hisa 40%
Wiselady ana hisa 40%
Preta ana hisa 40%
Blaki Womani ana hisa 40%
 
Afro....wakati nachagua chagua hapa, nimeiona hii, hembu chukua na naenda showroom kukuchangulia bajaji...Lol

6zqars.gif
 
This bike is special for you...If u dnt knw how to ride, plse send it to ur beloved Dad...say everything abt me!!
Now am heading to another shop...kukutafutia security.


200wutg.jpg
 
Aisee kaunta ya juu tuna hisa kabisa

Afrodenzi ana hisa 40%
Kimey ana hisa 40%
Asprin ana hisa 40%
Lizzy ana hisa 40%
Wiselady ana hisa 40%
Preta ana hisa 40%
Blaki Womani ana hisa 40%

Vp vipande vya hisa vishaanz kuuzwa?? manake naona hapo percent ishafika 280%...kubwe bwebwe zote "
The Boss" hana chake..dooh
 

Vp vipande vya hisa vishaanz kuuzwa?? manake naona hapo percent ishafika 280%...kubwe bwebwe zote "
The Boss" hana chake..dooh
Tumepata application ya The Boss bado tunamfikiria
 
Dont panic...this is very special type of short Gun for your JF enemy!!, It is for your safeguard so to keep u live long and long n long.. live...!! Weka hizo bullets lakini sikufundishi how to shut!! Usije ukaua bure!!
Naenda duka la vinywaji, kuna brand mpya zimetoka france....nitaziweka soon nikifika!!

2ly4gg4.jpg
 
That's better be what i'll say about my Bday cake a month after the actual Bday....

Lizzy inawezekana ikawa kama hii hapa chini

ilikuwa tarehe 29.01.2011 juma mosi usiku.
nilipoingia humu ndani ya JF nika haribu mambo..
nilienda kwenye Calender nikaweka birthday yangu usiku huo..
badala ya mwezi wa 11.. mimi nikaweka mwezi wa kwanza

kweli wapendwa naomba mnisamehe bure kwa kuwapotezea muda wenu kujibu..
na msamahaa zaidi uwende kwa alieandika hiyo thread..
nimeona imelete migogoro kidogo humu ndani..

yote makosa yangu ndo maana niko mbele yenu kuomba radhi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom