Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,887
mmpelekee Preta hii ....
si dhani kama mtarudi kazini baada ya hii lakini.. 🙂![]()
mmmmh....yaaay.....
mmpelekee Preta hii ....
si dhani kama mtarudi kazini baada ya hii lakini.. 🙂![]()
Duh BDay ya kufa mtu...Hongera bana!! Una miaka mingapi kuwa mama??
Kuna kadi naenda kununua, ungeikumbusha tangu jana ilikuwa ni kusubmit tu...sasa umenipa kazi ya kwenda dukani tena, so usijali nitakutumia punde kifurushi chaako!! na avatar naona umebadili...ama kweli umezaliwa upyaaaaaa!!Hongera once more!!
Anaweza kutoroka Ofisini halafu asirudi hadi January si unajua tena it's close to December...lol
mmmmh....yaaay.....
Haya naja naja nimeishaomba sick leave hadi January ila usimalize chupa zote zingine zifukie chini ya ardhi watu wasije wakazichukua:lol:hahahahahah c
hukua sick leave njoo huku basi khaa..
mpaka nikaushe chupa zote hahahaah.. 🙂
Haya naja naja nimeishaomba sick leave hadi January ila usimalize chupa zote zingine zifukie chini ya ardhi watu wasije wakazichukua:lol:
Heeeeeeey....is my calender incorrect???
Maana yangu inasema tar 24 bado...neway Happy Birthday Afro maana inawezekana mimi nikawa natumia ya mwaka 2009.
Hahaha!!! Lizzy usiku kucha ulishinda kaunta ya juu naona ndio unaamka hata umesahau:lol::eyebrows:Heeeeeeey....is my calender incorrect???
Maana yangu inasema tar 24 bado...neway Happy Birthday Afro maana inawezekana mimi nikawa natumia ya mwaka 2009.
we unakesi ambayo ..
kwa kweli anza kusali tu .....
Na ya kwako ntafanya hivihivi
we ngoja tu teh teh teh teh teh lol
Hahaha!!! Lizzy usiku kucha ulishinda kaunta ya juu naona ndio unaamka hata umesahau:lol::eyebrows:
We'll see that one Thursday kuamkia Friday:lol::eyebrows:Hamna bana...yani I have been thinking about this for weeks and I was so shur it wasn't untill thursday!!
Must be something wrong with the info I received...ukisikia mjumbe kauwawa usishangae!!
Nahisi utakuwa unamzungumzia Preta:lol:
Karibu sana mkuu ...
unatumiaga hiii kitu??
![]()
mmpelekee Preta hii ....
si dhani kama mtarudi kazini baada ya hii lakini.. 🙂![]()
Hahaha!! Neiba wako huyo mimi namwangalia tuTF tafazali usinigombanishe ni neiba wangu
Halafu bili mpelekee ODM.....ongeza chupa ingine tafazali
Hamna bana...yani I have been thinking about this for weeks and I was so shur it wasn't untill thursday!!
Must be something wrong with the info I received...ukisikia mjumbe kauwawa usishangae!!