Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Unasifia wengine tu
Huoni kama familia yetu ilishiriki kikamilifu juu ya hili tukio
Wala hutupaishi, wakati sie majirani wema

 
Captain
bana ohhhhh
uminiingia kwa kweli
asante sana dear ...

:A S 465:


hahahahahah lol! Rubani mie sitii neno 🙂🙂 sasa kwa wanywaji wengine huwa tunapenda kuzimua kwa Togwa 🙂🙂 hivyo usisahau kuweka Togwa. Mie nitazuka mitaa hiyo nikishamaliza majukumu yangu ya siku ya leo 🙂🙂

HAPPY BIRTHDAY AD
 
BAK Togwa umenikumbusha mbali kweli aisee
 
Side by side or miles apart
True friends are always close to your heart
Whether you're turning five or fifty-three
You know that I'm a true friend because you're here beside me
I'm here, right now, on your special day
So lets give a cheer for you, hip, hip, hooray!

Happy BirthDay Friend, Afro D
 
TF nimechelewa nilikuwa ktk mishe mishe since morning, hebu nipe ratiba imekaaje nijipange
 
Kumbe nawe ni mpenzi? lol! Basi ngoja nimuagize Rubani aweke ya kutosha 🙂🙂...Togwa imekukumbusha wapi TF!?
Kipindi fulani wakati bado nasoma shule wakati tunafanya community service kuna mitaa tulipita tukakuta wanapika Togwa muda mrefu kweli umepita
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…